TMAA walikamata madini yenye thamani ya 15bn shillings July 2012-November 2013 yakitoroshwa

TMAA walikamata madini yenye thamani ya 15bn shillings July 2012-November 2013 yakitoroshwa

Soot Mkorofi

Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Wakala wa ukaguzi wa madini Tanzania wametoa taarifa kuwa kati ya July 2012 na Novemba 2013 wamekamata madini yenye thamani ya shilingi 15billion yakitoroshwa kupitia viwanja vya ndege.

Ukaguzi katika airports ulianza July 2012. Kabla ya utaratibu huo, nchi ilipoteza kiasi gani?
 
Back
Top Bottom