TMDA CERTIFICATE: Yakazi gani dukani?

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,175
Reaction score
4,299
Kuna ulazima gani wakuwa na kulipia certificate ya TMDA wakati dukani sio kiwandani?

Hii n kero nyingine kwenye Biashara naomba waziri mkuu apokee hii nayo Kama changamoto
 
Kuna ulazima gani wakuwa na kulipia certificate ya TMDA wakati dukani sio kiwandani?

Hii n kero nyingine kwenye Biashara naomba waziri mkuu apokee hii nayo Kama changamoto
Unalipia kiwango gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…