TMDA yasema madai ya Watumishi wao kuhusishwa na Rushwa "Wanaolalamika, wajitokeze, walalamike rasmi na hatua zichukuliwe"

TMDA yasema madai ya Watumishi wao kuhusishwa na Rushwa "Wanaolalamika, wajitokeze, walalamike rasmi na hatua zichukuliwe"

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Baada ya Mdau wa JamiiForums kudai baadhi ya Maafisa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) wamekuwa sio waaminifu wanapokwenda kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya Dawa (Pharmacy) ikiwemo kutengeneza mazingira ya Rushwa, kuchukua Dawa na kutoziwasilisha kwenye ofisi za TMDA, ufafanuzi umetolewa na mamlaka husika

Hoja ya Mdau ni hii - Baadhi ya Maafisa wa TMDA wanaofanya ukaguzi Maduka ya Dawa wachunguzwe, wanakiuka maadili

JamiiForums imewasiliana na Mkurugenzi wa TMDA, Dkt. Yonah Hebron kuhusu hoja hiyo, ametoa ufafanuzi huu:

Natamani huyo mtoa mada mngemuhoji vizuri muhusika aelezee;

1. Ni Watumishi wa TMDA wa wapi?
2. ⁠TMDA bado haisimamii maduka ya Dawa muhimu na siyo rahisi kujua wenye matatizo ya usajili
3. ⁠Tukikagua TMDA, wakaguzi huwa na vitambulisho, awataje wakaguzi walikuja kwake ili hatua zichukuliwe
4. ⁠Mteja aandike barua kwa Mkurugenzi Mkuu wahusika wachukuliwe hatua
5. TMDA haijafanya operesheni yoyote juu ya suala hilo.
6. ⁠Wahusika kama wana ushahidi wa kuhusika kwa TMDA, wajitokeze, walalamike rasmi na hatua zichukuliwe

Ni vema awe transparent. Hatufichi uovu hapa. Let them be also transparent.
 
Baada ya Mdau wa JamiiForums kudai baadhi ya Maafisa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) wamekuwa sio waaminifu wanapokwenda kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya Dawa (Pharmacy) ikiwemo kutengeneza mazingira ya Rushwa, kuchukua Dawa na kutoziwasilisha kwenye ofisi za TMDA, ufafanuzi umetolewa na mamlaka husika

Hoja ya Mdau ni hii - Baadhi ya Maafisa wa TMDA wanaofanya ukaguzi Maduka ya Dawa wachunguzwe, wanakiuka maadili

JamiiForums imewasiliana na Mkurugenzi wa TMDA, Dkt. Yonah Hebron kuhusu hoja hiyo, ametoa ufafanuzi huu:

Natamani huyo mtoa mada mngemuhoji vizuri muhusika aelezee;

1. Ni Watumishi wa TMDA wa wapi?
2. ⁠TMDA bado haisimamii maduka ya Dawa muhimu na siyo rahisi kujua wenye matatizo ya usajili
3. ⁠Tukikagua TMDA, wakaguzi huwa na vitambulisho, awataje wakaguzi walikuja kwake ili hatua zichukuliwe
4. ⁠Mteja aandike barua kwa Mkurugenzi Mkuu wahusika wachukuliwe hatua
5. TMDA haijafanya operesheni yoyote juu ya suala hilo.
6. ⁠Wahusika kama wana ushahidi wa kuhusika kwa TMDA, wajitokeze, walalamike rasmi na hatua zichukuliwe

Ni vema awe transparent. Hatufichi uovu hapa. Let them be also transparent.
Kwa nini asiwashauri hao Watu wenye malalamiko kuwasilisha malalamiko yao TAKUKURU badala yake anataka wawasilishe malalamiko kwake yeye Mtendaji Mkuu?? Je, yeye ni Afisa wa TAKUKURU mwenye mamlaka ya kuwafikisha Mahakamani watuhumiwa wa rushwa??
 
Bila rupia hii nchi utakwama tu
 
Baada ya Mdau wa JamiiForums kudai baadhi ya Maafisa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) wamekuwa sio waaminifu wanapokwenda kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya Dawa (Pharmacy) ikiwemo kutengeneza mazingira ya Rushwa, kuchukua Dawa na kutoziwasilisha kwenye ofisi za TMDA, ufafanuzi umetolewa na mamlaka husika

Hoja ya Mdau ni hii - Baadhi ya Maafisa wa TMDA wanaofanya ukaguzi Maduka ya Dawa wachunguzwe, wanakiuka maadili

JamiiForums imewasiliana na Mkurugenzi wa TMDA, Dkt. Yonah Hebron kuhusu hoja hiyo, ametoa ufafanuzi huu:

Natamani huyo mtoa mada mngemuhoji vizuri muhusika aelezee;

1. Ni Watumishi wa TMDA wa wapi?
2. ⁠TMDA bado haisimamii maduka ya Dawa muhimu na siyo rahisi kujua wenye matatizo ya usajili
3. ⁠Tukikagua TMDA, wakaguzi huwa na vitambulisho, awataje wakaguzi walikuja kwake ili hatua zichukuliwe
4. ⁠Mteja aandike barua kwa Mkurugenzi Mkuu wahusika wachukuliwe hatua
5. TMDA haijafanya operesheni yoyote juu ya suala hilo.
6. ⁠Wahusika kama wana ushahidi wa kuhusika kwa TMDA, wajitokeze, walalamike rasmi na hatua zichukuliwe

Ni vema awe transparent. Hatufichi uovu hapa. Let them be also transparent.
Mkuu kwanza kabsa nikushukuru kwa kuleta andiko hili. Binafsi nitakujibu kwa uzoefu wangu.
Ukizungumzia TMDA pamoja na MDS huko kuna watu wana mipango yao sio kitoto. Nimefanya kazi kwa ukaribu sana na watendaji wa TMDA hata kabla haijabatizwa jina hili, kipindi hicho inaitwa TFDA! Amini usiamini WAHUNI WAPO.

Halafu Dkt. Yonah anakosea na kujishushia heshima bure, kwake yeye na elimu yake! Yeye ni mtaalamu hivyo afanye mambo kitaalamu, nina imani kuwa anaweza kuunda kamati maalumu ambayo itafanya kazi bega kwa bega na TAKUKURU ili aweze kupata majibu ya maswali hayo sita.

Yeye ni mtu mwenye elimu kubwa sana, atumie elimu na busara yake kupata majibu na sio kurahisisha mambo. Je unadhani ni rahisi mtu kutoa taarifa au takwimu kuhusu hizi mambo? Ndo maana ofisi kubwa zinazojielewa kuna kitu wanakiita whistleblower. Hiyo ni ofisi ya umma sio nyumbani kwake.​
 
  • Thanks
Reactions: apk
Back
Top Bottom