To all JF fans: Have an enjoyable, nice weekend! Umeguswa na tukio gan wiki hii?

To all JF fans: Have an enjoyable, nice weekend! Umeguswa na tukio gan wiki hii?

Teamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2009
Posts
12,271
Reaction score
1,052
Siongei mengi katika hili!kichwa cha thread kinazungumza.
Poleni na kazi kwa wiki nzima wakuu wangu,nawatakia mapumziko mema,mzisalimie familia zenu pia!MBARIKIWE SANA

wiki hii ilikuwa ya kihistoria kwangu!nimepata 'shock' na uhamisho wa kihistoria wa cristiano ronaldo kwenda real madrid.Kwakweli mpira ni biashara kubwa sana kwa nchi za ulaya.nikiangalia kiwango cha uchezaji bongo huwa nakata tamaa,natamani kama ningekuwa ughaibuni au mashariki ya mbali kama watanzania wenzetu kadhaa wanaoishi huko.

NAAMINI KILA MTU AMEGUSWA KWA NAFASI YAKE,kwa matukio tofauti tofauti!

NAWAPENDA SAAANA WANA JF!i hope tutakamatana tena wiki ijayo.
KARIBUNI KWETU KIMARA-SUKA JAMANI.
 
Uhamisho wa Ronaldo to Real Madrid!..

Kenyan Budget (2009/2010)...


Enjoy your weekend as I intend to!...
 
WoS kuwa Cerebrity na SuperLady wa JF
hii hata mimi imenigusa,na nimeipenda!
pia WoS anapoweka wazi 'mapenzi yake kwa JACK-PEMBA' nimeikubali sana
 
Belinda,na Sinkala HESHIMA YENU WAKUU!ukweli mauaji ya mabibo hostel yamenitia simanzi pia.hii wiki ilikuwa wiki ya matukio
 
Stimulus package ya kuchochea wizi...

Undevelopmental budget ya mkulloo..

Impressed with focused budget ya Uhuru...

Noni kupewa ulaji na wasiotaka kulaumuuuu........
 
Stimulus package ya kuchochea wizi...

Undevelopmental budget ya mkulloo..

Impressed with focused budget ya Uhuru...

Noni kupewa ulaji na wasiotaka kulaumuuuu........
MANENO MAZITO HAYO MKUU NYAUBA!pamoja sana
 
Vurugu zilizotokea Arumeru.

Weekend njema pia!
 
Vurugu zilizotokea Arumeru.

Weekend njema pia!
WIKIENDI NJEMA PIA!hizi vurugu mkuu ndo uvamizi wa eneo la uwekezaji la mheshimiwa kimaro?
 
Mi kuna mtu nime m PM huku JF hajanijibu nimemaindi!

wakulu weekend njema....ya kwangu naona waka haitakuwa njema kabisa.....grrrrrrrrrrr


(Lakini pia nimeguswa na suala la yoyo kuwa banned..sijui amefunguliwa?)
 
Mi kuna mtu nime m PM huku JF hajanijibu nimemaindi!

wakulu weekend njema....ya kwangu naona waka haitakuwa njema kabisa.....grrrrrrrrrrr


(Lakini pia nimeguswa na suala la yoyo kuwa banned..sijui amefunguliwa?)

Mimi nimefurahi huyo Yo Yo kufungiwa....alim disrespect Cuppy
 
Back
Top Bottom