Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,803
- 1,601
mabinamu mnanimake proud kwa kuanza kuniomba contact zake,
nilijua mtasema tu lkn mwisho wa siku kuna atakayeguswa.
anaonekana yupo beyond repair. panataka miujiza kuliko ya moses hapo ili arudi kwenye mstariHahahahah! Jamani klorokwini unaweza ukampa dawa tu naye akabadilika.....🙂
unaweza ukamnadia mke wako mwizi bila kujishtukia. tutubuni jamani , hii picha inazihirisha kabisa kwamba tumeumbwa kwa udongo.
anaonekana yupo beyond repair. Panataka miujiza kuliko ya moses hapo ili arudi kwenye mstari
acha nimalizane na husninyo halaf nitatubu, si inakubalika hii kwenye maandiko au?Tubu kwanza wewe,sisi tutakufuata,huo udongo umejua leo umeumbwa kwa wenyewe baada ya kuona huyo dada???
huyo eksizibiti mwenyewe ataonekana kama shoga tu mbele ya hiki kifaa. dah! cheusimangala kapoteza apetaiti yangu ya midnait kabisa yaani.total pimping.....huyu inabidi tumpelekee eksi zibiti
sjui hashycool lakini mimi sidanganyiki, narejea kwa forein lengueji i kenot be temptedila jamani nasema ukweli kutoka moyoni mwangu,
huyu dada ni mzuri,tena sana,mwanaume mjanja atauona uzuri ninaouongelea,
hapo ukimshauri asipake hayo mawanja na akifundishwa kuvaa bling bling za kiasi nawaambieni wakina hashycool na klorokwin watakuwa wa kwanza kumvizia 'shemeji yao wa wakati huo.
Dada ni mzuri sion kasoro yake,wala mim sion wanawake wengine walichomzidi,tofauti ni kwamba yeye bado hajajua ile rule ya 'less is more'.
kweli sijamleta hapa ili anangwe bali niliona anafaa kumuondoa binam yangu mmoja ktk ubachela.
huyo eksizibiti mwenyewe ataonekana kama shoga tu mbele ya hiki kifaa. Dah! Cheusimangala kapoteza apetaiti yangu ya midnait kabisa yaani.
kaka unaweza kuamka usingizini ukaangalia kulia kwako ukapiga mayoweee
sjui hashycool lakini mimi sidanganyiki, narejea kwa forein lengueji i kenot be tempted
huyu ukimpata mnaenda ki gengsta lavu,,,,,,,
sjui hashycool lakini mimi sidanganyiki, narejea kwa forein lengueji i kenot be tempted
huyu dada akaoshe uso na kutuma picha ingine.kwa nini unakataa?....kwani hafai......Ila Cheusi huyu shost na huo wanja ndio dizaini gani tena hiyo....
hujambo lakini mpenzi
Kamanda hautazikwa kwa michango we have you covered kwa kutuchekesha kila siku.dah! wakuu nikifa basi sababu ni hayo maandishi ya red. naomba michango ya mazishi mumkabizi lawyer wangu uporoto1. RIP klorokwini
halaf anauza ka duka ka vipodozi aisee, navionea huruma kweli vile vipodozi kule kwenye shelves, nazani anauza 6 anapaka mwenyewe 12. Wanamahesabu tunasema ratio ya 1:2. Dah! Acha nirest kesi yangu hapa, isje ikawa kuna mod anammind mdada wa watu, hasira zake akaishia kuniban mimi.
huyo eksizibiti mwenyewe ataonekana kama shoga tu mbele ya hiki kifaa. dah! cheusimangala kapoteza apetaiti yangu ya midnait kabisa yaani.[/QUOTE]
sorry binamu haikua nia yangu kuipoteza apetit yako.
ila jamani nasema ukweli kutoka moyoni mwangu,
huyu dada ni mzuri,tena sana,mwanaume mjanja atauona uzuri ninaouongelea,
hapo ukimshauri asipake hayo mawanja na akifundishwa kuvaa bling bling za kiasi nawaambieni wakina hashycool na klorokwin watakuwa wa kwanza kumvizia 'shemeji yao wa wakati huo.
Dada ni mzuri sion kasoro yake,wala mim sion wanawake wengine walichomzidi,tofauti ni kwamba yeye bado hajajua ile rule ya 'less is more'.
kweli sijamleta hapa ili anangwe bali niliona anafaa kumuondoa binam yangu mmoja ktk ubachela.
naomba angalau kwa hili kuwe na privacy. sheria za JF haziruhusu kutoa siri za PM (mwisho wa kunukuu)[/COLOR][/B]
ngojea nicheck tena ktk waliotuma pms za kuniomba contacts zake nihakikishe kama haupo,
ila hata kama upo sitakutaja.