hashyool na klorokwin, wanasaikolojia wananiambia kwamba jinsi mnavyojitahidi kumponda huyu dada ndivyo inavyoonyesha jinsi mmeshanasa.
Si mseme tu tuamue yupi kati yenu anastahili kuondoka na mrembo,niwakusanye kina mama wa jf tuanze kupiga vigelegele.
kamanda naona umewekwa kwenye signecha, dah! kweli wewe faifu starhuyu dada akaoshe uso na kutuma picha ingine.
Kamanda hautazikwa kwa michango we have you covered kwa kutuchekesha kila siku.
kaka nazani bath tub yake anajaza jiki halafu anachanganya na mapapai HALAFU ANA PONDEA PONDEA NA UTOMVU WA MUAROBAINI
Pss! sema polepole kuna wakaba penati kibao humu.kamanda naona umewekwa kwenye signecha, dah! kweli wewe faifu star
Pss! sema polepole kuna wakaba penati kibao humu.
acha nimalizane na husninyo halaf nitatubu, si inakubalika hii kwenye maandiko au?
kuna walugaluga wanamtungia mashairi mke wa mtu u kanti bilivu dunia hii na hapohapo mi sijui mashairi kan u imajin!asavali yako umewaona!
huyu ukimpata mnaenda ki gengsta lavu,,,,,,,
Kwani huyo dada ana ubaya gani?
Mbona mnamponda sana.
Mkimpata mnampigisha sop sop, unamtupia vipamba vya 4u2 mambo yanajipa.
kweli mie sion ubaya wa huyu mdada.
honestly.
tena yuko natural,nywele zile zetu pure,ukimtizama vizuri hana hata mkorogo,ni hayo mawanja na mabling bling yake tu,yaani ningekua mwanaume nisingejiuliza mara mbili ningetia ndani.
Hicho kipengele cha kukubali urembo wake na asibadilishwe ndio tatizo hata mtu asipojali alivyoungua mkono na makovu kibao.
Orait,orait nitakuwa nasoma tu mimi sitafuti nawe ndio wangu wa 1-4 hamna nafasi hata ya kudandia hapa kwangu sweetdreams baby.ila dear wewe ntafurahi ukisema kuwa huyu mdada ni mbaya,
pia itabidi unieleze ulikua unatafuta nini hadi ukamchunguza kiasi cha kuona hadi hayo makovu wkt mie nilikua hata sijayaona.
huyu hakuhusu coz ww sio single hivyo ww nenda tu kanunue muindi wa kuchoma hapa niache na kina hashycool.
Nimeshajichokea na maisha ya ukimburu,lakini hapo utanisamehe CM.Maana hata unipe pesa zote za deni la DOWANS kwa sharti la kumuoa huyu bado nitakataa!!!
Pss! sema polepole kuna wakaba penati kibao humu.
watu wanakaba hadi kivuli