to all my single boyz in here..

Hivi hiyo signecha yake ktk paji la uso ina maana gani?
 
Vipi dearest hujampenda huyo mrembo hapo ili uachane na ukapera

Vigezo kibao sina . . . nina nyumba za nyasi 7, kuku 12 na bata 20. Anataka wazee wenye damu baridi wakati mi nachemka lol
 
Mwenzangu....
Nini kisa cha kuwauzia masharabaro mbuzi kwenye gunia?
 
Kwa kweli huyo dada hapo juu kapitiliza UREMBO, yupo ktk ULIMBO sasa
 
nimeshajua tatizo lenu mabinamu zangu wapendwa,vigezo no. 7,9,10 na 13 vimewashinda ndio sbb ya sizitaki mbichi hizi huku mrembo mwamtamani.
Mtaona wenye vigezo wataavyojipatia mke kirahisi,
nyie wenye mamikopo benk mtamuwezea wapi si mtamuua bure mrembo wa Taifa kwa pressure maana mtaanza kumwambia auze bling bling zake mlipie mikopo.
 

Watu hawataki ng'ombe, wanataka maziwa tu . . .
 
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi

"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"

asanteni kwa ushirikiano.
 

Na akuombe radhi :yo:
 

We krolokwini hebu tulia kidogo wengine mbavu zinataka kuvunjika, yaaani hapana leo mmeniongezea miaka 10 zaidi ya kuishi
 

kaka tafuta muvi moja inaitwa shallow hal
 
kaka tafuta muvi moja inaitwa shallow hal
nalog out kidogo kaka, kila nikifungua hii sredi nakuwa naiogopa JF ghafla, mimi nazani mod wangeliipeleka hii jukwaa la wakubwa, si unaona hiyo picha ya mwisho mdada kavaa night dress.
 
nalog out kidogo kaka, kila nikifungua hii sredi nakuwa naiogopa jf ghafla, mimi nazani mod wangeliipeleka hii jukwaa la wakubwa, si unaona hiyo picha ya mwisho mdada kavaa night dress.

halafu ngozi flani ka gwanda la jeshi flani hivi.......
 
nalog out kidogo kaka, kila nikifungua hii sredi nakuwa naiogopa JF ghafla, mimi nazani mod wangeliipeleka hii jukwaa la wakubwa, si unaona hiyo picha ya mwisho mdada kavaa night dress.

nait dressi za friii masonzi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…