cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
- Thread starter
-
- #81
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi
"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"
asanteni kwa ushirikiano.
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi
"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"
asanteni kwa ushirikiano.
hahaa mpwa unaniua kwa kicheko ujue.
ila klorokwini hebu tuongee ukweli,hivi kama kitu hukipendi si ukiondoka hugeuki tena nyuma,lkn mpwa wangu ww umekua hukauki kila dkk unakuja kuchungulia hizi picha tena nahisi kausingizi kazuri ulikapata jana baada ya kuiona picha ya huyu mdada.
mpwa usiudhulumu moyo wako,ukichelewa wajanja wakakuwahi ujue jinsi ya kuhandle heart attack,sitaki kukupoteza mpwa wangu kwa vitu vinavyoepukika.
halafu ngozi flani ka gwanda la jeshi flani hivi.......
Never Be Afraid To Say what you feel,CM hapo kwenye mibangili ya shaba mkono umechakachuliwa??Lakini mimi naona huyusiyo mzima maana yawezekana ankula ndumu maana huyu kwanza usikae na vitu vyenye ncha kali akawii kukuumiza!!Na huyu akilewa usijaribu kumwambia twende home unatafuta balaa mwache anywe mpaka tikeshe!!Nanjaa lakini chakuhiki sili!!!
ai-koni au logo ya friii masonzi ambaye ni trainee
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi
"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"
asanteni kwa ushirikiano.
total pimping.....huyu inabidi tumpelekee eksi zibiti
Atatoka mwili una 21 inch rims, sound la kufa mtu hadi ngozi itakuwa pimped vya kutosha
kaka huyu tumuweke kwenye sinema ya drakula...hakuna haja ya kuvaa vinyago
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi
"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"
asanteni kwa ushirikiano.
Hivi klorokwin yuko wapi ndio mida yake hii
mkuu nipo, lakini naomba tutafteni sredi nyengine tukaweke kambi. hapa panaweza pakatusababishia impotency ya baiolojia zetu.Hivi klorokwin yuko wapi ndio mida yake hii
mkuu nipo, lakini naomba tutafteni sredi nyengine tukaweke kambi. hapa panaweza pakatusababishia impotency ya baiolojia zetu.
m
Ha ha haunaweza shangaa jogoo kasizi for a week
mkuu nipo, lakini naomba tutafteni sredi nyengine tukaweke kambi. hapa panaweza pakatusababishia impotency ya baiolojia zetu.