To asha dii, the boss, lizzy and all mmu members

hiyo ni title tu sis sikuwa na maana mbaya nawavalue mmu member wote sawa
 
<img src="http://t1.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcSJks6Wo63kA1ISviDFJ7YAFM05kHVg-BC6hoMgNzpV1Qku5uoUcw" border="0" alt="" />
<br />
<br />

Hii ni nini, suggestion box?
 
Toa hapa, watumie kwenye Private message. huu ni ushamba.
we Matola we mmmhh ushamba kweli au unasikia kawivu flan kwa kina Lizzy,wivu sina lakini roho..........
 
Hatimaye Lizzy naye karushwa leo.......FM Academia.......... Hongera mshiki....

Babu bwana...ulinilipia nini?!Maana nashangaa sijamwaga mapesa alafu nimewekwa kwenye kibwagizo!!
 
<br />
<br />
Ila leo umenitishia mama! Kama unatoa hukumu ya kifo! Hujaona ile kalamu ya bluu au nyeusi pale karibu na dressing table?
 
<br />
<br />
Ila leo umenitishia mama! Kama unatoa hukumu ya kifo! Hujaona ile kalamu ya bluu au nyeusi pale karibu na dressing table?
iyo ndo rangi ya upendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…