To. Higher education students loarn board

To. Higher education students loarn board

Gwamanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2021
Posts
223
Reaction score
434
Tarhe 12.14.22.24
Nina usaili utumishi, nyie ni miongoni mwa watu waliomo kwenye list ya wanaotakiwa kuniombea, nina zaidi ya mil13 zenu, na kwajinsi hali ilivyo ngumu kitaa hamtokaa mzipate, option pekee ya nyie kuzipata ni mimi nipate hiyo Ajira, fungeni na kuomba sana nitoboe, pakeni ikiwezekana mafta ya mwamposa na maji ya sunguye.
 
Tarhe 12.14.22.24
Nina usaili utumishi, nyie ni miongoni mwa watu waliomo kwenye list ya wanaotakiwa kuniombea, nina zaidi ya mil13 zenu, na kwajinsi hali ilivyo ngumu kitaa hamtokaa mzipate, option pekee ya nyie kuzipata ni mimi nipate hiyo Ajira, fungeni na kuomba sana nitoboe, pakeni ikiwezekana mafta ya mwamposa na maji ya sunguye.
Wote tuseme Amina.
 
Back
Top Bottom