Tarhe 12.14.22.24
Nina usaili utumishi, nyie ni miongoni mwa watu waliomo kwenye list ya wanaotakiwa kuniombea, nina zaidi ya mil13 zenu, na kwajinsi hali ilivyo ngumu kitaa hamtokaa mzipate, option pekee ya nyie kuzipata ni mimi nipate hiyo Ajira, fungeni na kuomba sana nitoboe, pakeni ikiwezekana mafta ya mwamposa na maji ya sunguye.
Nina usaili utumishi, nyie ni miongoni mwa watu waliomo kwenye list ya wanaotakiwa kuniombea, nina zaidi ya mil13 zenu, na kwajinsi hali ilivyo ngumu kitaa hamtokaa mzipate, option pekee ya nyie kuzipata ni mimi nipate hiyo Ajira, fungeni na kuomba sana nitoboe, pakeni ikiwezekana mafta ya mwamposa na maji ya sunguye.