Nyie mna walakini sio bure, budget yenu ya 70 billion inamalizikia almost yote kwenye expenditures sababu ya big burden of needs from many people more than 48 millionwaache hawa jamaa itakua elimu yao ikona shida...yes Oman has a biggr per capita but it has a smaller economy...so it cannot finance such a project...they think a country can risk 70% of its own GDP to finance only one project..ushenzi wa hali ya juu..
ndio wakona budget kubwakutuliko ila hawawezi waka finance project ya $10B...imagine watoe 10B yote watabaki na ngapi...tumia akili ndugu...nchi inayoweza kufinance bagamoyo ni China na USA pekee yake...Japan pia inawezaNyie mna walakini sio bure, budget yenu ya 70 billion inamalizikia almost yote kwenye expenditures sababu ya big burden of needs from many people more than 48 million
Oman budget yao nyingi unaenda kwenye development projects and bigger investments sababu they don't have any burden to serve they have fewer people but bigger cash to engage in development issues than social services hii nyie kwenu ni ngumu kuelewa.
mbona unakwepa mdahalo...habari zako zinaongelea bagamoyo..bmona hutaji hilo...lol!!How much do you pay to your civil servants per month in accordance with your GDP please?
Kwanza hata hujui uhusika wa oman kwenye hii project, hii project ni joint venture ya Tanzania, China na Oman hilo kwanza unatakiwa ulizingatie.ndio wakona budget kubwakutuliko ila hawawezi waka finance project ya $10B...imagine watoe 10B yote watabaki na ngapi...tumia akili ndugu...nchi inayoweza kufinance bagamoyo ni China na USA pekee yake...Japan pia inaweza
Nyie mapumba wa Bongolala land, GDP inaangazia ukubwa wa uchumi...GDP per capita inaangazia quality of life...nchi inaweza ikawa na per capita kubwa ila haina nguvu yoyote kiuchumi...mfano Switzerland, it is one of the richest countries in terms of per capita...infact it is richer than USA but when it comes to economic might, Switzerland is just another useless country...
Since when does a country having a high gdp per capita implied that it has a big economy?
I wasnt talking about the gdp per capita, mister. I was referring to the overal size of that economy, which is only slightly larger than the total cost of that Bagamoyo project.
The high gdp pc is obviously owing to its miniscule population size. And that does not require any complicated math to deduce.
Hii bandari ya Bagamoyo iliwasumbua sana wakenya ikawa ndio kebehi kila kukicha humu ndani kwamba is the one big pink elephant project lakini mara paap
Huyu hapa mbia kwenye project hii akikagua na kujionea namna hii bandari itakavyokua, Ikumbukwe Oman inatarajia kujenga biggest industrial park in Bagamoyo pamoja na China hii bandari ikiwa ni kipaumbele. View attachment 613101
Waziri huyu anagonga kiswahili kama mtanzania vile lakini hata Africa hakuwahi kukanyaga maisha yake yote, msikilize mwenyewe akiongelea bandari hii na uwekezaji kwenye viwanda huko Bagamoyo.
.
Mkiongelea nguvu ya uchumi wa kweli, mnaongelea 'GDP at purchasing power parity (PPP)' ambapo Oman wamewapita karibu mara mbili ($300B) wakati nyinyi mna $164B, sasa sijui mna hoja gani hapa?
Kazaliwa Pemba kakulia Pemba kasoma shule za msingi na secondary akiwa Pemba.Hii bandari ya Bagamoyo iliwasumbua sana wakenya ikawa ndio kebehi kila kukicha humu ndani kwamba is the one big pink elephant project lakini mara paap
Huyu hapa mbia kwenye project hii akikagua na kujionea namna hii bandari itakavyokua, Ikumbukwe Oman inatarajia kujenga biggest industrial park in Bagamoyo pamoja na China hii bandari ikiwa ni kipaumbele. View attachment 613101
Waziri huyu anagonga kiswahili kama mtanzania vile lakini hata Africa hakuwahi kukanyaga maisha yake yote, msikilize mwenyewe akiongelea bandari hii na uwekezaji kwenye viwanda huko Bagamoyo.
Kumbuka idadi ya watu Oman ni ndogo sana,sio zaid ya milioni 4,wakati idadi ya watu kenya ni zaidi ya 40 milioni.Hahahaha... they are relying on a poor country?
Idadi ya watu Oman ni ndogo,hawazidi milioni 4,wakati Kenya ni zaidi ya milioni 40,Sasa linganisha kipato cha baba mwenye watoto wanne,na baba mwenye watoto 40,matumizi hayawi sawa hata siku moja.Since our Nominal GDP
Total work and goods produced per year is 8bn$ more than Oman
Two since Kenya is like 10 times bigger than Oman
3 since there is atleast 500,000 omanis in mombasa and less than 30k kenyans in Oman
4 since swahili is a language in Oman
5 Kenyas airline is larger than oman revenue wise and fleetwise
6 If kenyans sat down today and decide to produce goods oman wont breath !!
Hilo sio hoja kuhusu idadi ya watu Oman kuwa wachache. Ukweli bado utabakia palepale, ya kwamba uchumi wa Oman ni mdogo sana.Kumbuka idadi ya watu Oman ni ndogo sana,sio zaid ya milioni 4,wakati idadi ya watu kenya ni zaidi ya 40 milioni.