To make a short story long: Hatari ya kuficha mahusiano

Kama yy atakataaa ni maamuzi yake...wengi hua hawapo hvo mkikutana mnaendelea mlipoishia mfano mzuri huyo mtoa story side Leo akipiga goti Moja tu beki hazikabi lkn huku anaweza zuga tu ooh! Namheshimu
Kwel. Kuna wawil hao ni mimi nililazimika kujiweka pembeni baada ya wao kuolewa. Ila nilishawala mara moja mbil wakiwa tayar wameolewa.. yan dah haya mambo ya mahusiano na ndoa kwa dunia ya sasa ni mtihani sanaa
 
Kwel. Kuna wawil hao ni mimi nililazimika kujiweka pembeni baada ya wao kuolewa. Ila nilishawala mara moja mbil wakiwa tayar wameolewa.. yan dah haya mambo ya mahusiano na ndoa kwa dunia ya sasa ni mtihani sanaa
Dunia inayoendeshwa na moyo iache kama ilivyo! Mambo yanayoendelea ukitumia ubongo kuya-judge utaona watu hawana akili kbs
 
Mtu mwenye ukwasi yuko makini kwa anachokipenda na kinachomzunguka.

Hakunaga bahati mbaya au ajali kwenye maisha.

Huenda Side ni member mzuri wa wa ule uzi pendwa. Amekuweka kwenye target na wewe ukajaa.

Kwa upande wako ni bahati mbaya ila kwa Side ni plan.
 
Kwahiyo Arsenal tukabanduliwa na Side Mnyamwezi
 
Very interesting and enriching. Hongera kwa uandishi mzuri sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…