Mane amejikita siasani, anatafuta kisukari na kiharusi, ngoja mimi na wewe tuendelee kubebishana hapa huenda nikapata ..,......[emoji12][emoji39][emoji125]Hahaha hahaha hahaha
Hebu tia neno hapo kabla muumini wako@Manengelo hajafika hapa!
mama mimi si mnyonge wako, niseme nini tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuwa na amani kabisaaa babaa, najua wewe ni wangu peke angu!
Tatizo hawa wengine wazinguaji tuu
Hahaha hahaha hahahaMane amejikita siasani, anatafuta kisukari na kiharusi, ngoja mimi na wewe tuendelee kubebishana hapa huenda nikapata ..,......[emoji12][emoji39][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatimaye na wewe umepata mdakachozi wako anavumilia mengi nae huyu
Ngoja nitafute mdakachozi na mm
Mambo ShunieKwakweli jina linamfaa ujue ako anakuvumilia kwa mengi masikini kukuacha hawezi
Hebu hukooooKwakweli jina linamfaa ujue ako anakuvumilia kwa mengi masikini kukuacha hawezi
Hivi amekujibu au, maana mimi mwenyewe nasubiri hilo jibuHivi ule mchele ulosema tutakula ndio wa huyu? Mi nimeuliza tu jamani kwa niaba ya Heaven Sent[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Kajifanya hajaona[emoji134]Hivi amekujibu au, maana mimi mwenyewe nasubiri hilo jibu
Akijibu uniite.
Hahaaa!!nakataa kuamini hiliiTeeeeh, labda ungesema unga wa dona. Uji na ugali tu zaidi ya hapo hauna kazi. Yaani huyu Sakayo nampenda hadi viungo vinashtuka[emoji125][emoji125][emoji125]
Balaaa etiii!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha hahaha
Daaah, Elii jamaniii
Heeee!!na huyu[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]Kuwa na amani kabisaaa babaa, najua wewe ni wangu peke angu!
Tatizo hawa wengine wazinguaji tuu
Hapana nimenyoosha mikono na miguu Wifi huyu hapana kwa kweli!!!!Mimi natizama tu jamani, halafu nakaa kimya kama sijaona. Labda mdogo wangu Raynavero aje aseme neno hapa!!!
Hahaaa...unakosaje mdaka chozi bimdogo au waniachia miye Mr@platzoom!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatimaye na wewe umepata mdakachozi wako anavumilia mengi nae huyu
Ngoja nitafute mdakachozi na mm
Hahaaa....shoga bado KwanzaaHivi ule mchele ulosema tutakula ndio wa huyu? Mi nimeuliza tu jamani kwa niaba ya Heaven Sent[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Umbea hauna mtaji jamani[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]!!!Hivi amekujibu au, maana mimi mwenyewe nasubiri hilo jibu
Nshajibu wambea nyiiieee[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Kajifanya hajaona[emoji134]