To my everlasting G

Imenibidi nianze kuwalist maex zangu, nipo wa 234 lakini jina lako halijatokea. Ngoja niendelee labda ukatokea kwa bahati mbaya then nitakufikiria.
Endelea maana wewe utafikisha 1000.
 
Huu msongamano sio kidogo.

Ngoja nami niwatag maex zangu waje wanianzishie uzi, wasijifanye hawajanimiss.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ukitaka wa kwako mbumbe mwenyewe!!!

Wa mjini kushea Dada mwanzo mwisho...!!!!

Hapo sasa hao Maex INA maana hayupo ambae ulimfurahisha hata mmoja jamani...kaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…