To UDSM cass students...

Ginner

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2011
Posts
1,532
Reaction score
2,065
Kunataarifa imetoka jana kwamba, ifikapo ijumaa ya tar 12 april wote ambao watakuwa hawajalipa au kukamilisha deni lao la ada basi wanashauriwa kupostpone mwaka wa masomo..hii ni taarifa rasmi.
 
Kijana hebu dadavua vizuri ili tujue tunawasaidiaje , acha Haraka !
 
Kunataarifa imetoka jana kwamba, ifikapo ijumaa ya tar 12 april wote ambao watakuwa hawajalipa au kukamilisha deni lao la ada basi wanashauriwa kupostpone mwaka wa masomo..hii ni taarifa rasmi.
Sasa wakipostpone ndo hilo deni litajilipa? Walioamua hivo watakuwa ni wafuasi wa chadema ili wananchi waichukie serikali yao tu. Imagine, mzazi wa ambaye ni mwanchi wa Loliondo, pia mwanye mwingine ni mmoja wa wale zero laki mbili, tena mwanaye anayesoma UDSM hajamaliza deni akirudishwa nyumbani, atajisikiaje? CCM kuweni makni chadema imeshawateka watu wenu mliowaweka vyuoni.
 

kinachosikitisha wengi ni wahanga wa bodi ya mkopo na wanahitaji muda zaidi kwa wazazi wao wajibane kwaajili ya kumalizia kiasi kilichobakia kwa ajili ya semister ya pili. mimi nadhani hii ni kuchochea migomo katika vyuo. miaka yote wanafunzi huwa wanalipa pesa zao zote za ada kama inavyohitajika kabla ya semister kukamalizika. sasa sijajua hii haraka ya chuo kipindi hiki imechochewa na kitu gani
 
hii ni hatar, sasa wameshindwa kulipa ada wadaenda wap,,jaman ccm tuoneen huruma,
 
hii ni hatar, sasa wameshindwa kulipa ada wadaenda wap,,jaman ccm tuoneen huruma,

sio kwamba wameshindwa kulipa Ada mkuu.. ni kwamba wamesitisha ghafla siku za kufanya registration mpka ifikapo tar 12 april kuwa ndio mwisho. kawaida watu huendelea kufanya registration hata baada ya miezi miwili au mitatu mradi iwe kabla ya kufanya finals. sasa naona utaratibu huu mpya unalengo la kuwakandamiza wanafunzi. sidhani kama ali ya amani itakuwa salama kwa mtindo huu wa sasa.
 
wewe hujalipa ada mpaaka sasa unataka nani akulipie. nafikiri ni wazo zuri sana kama litatekelezwa kama lilivyo pangwa
 
wataongeza tu muda wana huruma kweli maana kuna watu bado hawajapata ada hali ngumu huko vijijini.. hata ada wanasemaga kusain mwisho zitarudishwa bodi ila bado wanaongezaga muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…