Analiwa hukoHuyu mwanafamilia wa Jf To yeye ameadimika yupo wapi?
🤣🤣 Ndoa hapana mkuu...Nimemsitiri(nimemuoa)
🤣🤣🤣 Are you serious?Analiwa huko
🤣🤣 Tulia wewee, 🤒Kukosekana week tu tayari kaanzishiwa thread siwez kukubali japo n best yangu sana
🤣🤣🤣Nimekua sasa...Yupo amejaa tele na ukorofi wake.
🤣Nahisi yeye ndiye kapotea aisee
🤣Mdomo huoo🥴Ana To mbaalikweeli yeye