To yeye yupo wapi?

Hii ni serious wala sio masihara, me hii inanikuta sana, kila dem ninaesex nae lazima maisha yake yanyooke

Naombeni elimu na ufafanuzi juu ya hili fumbo nililofumbwa

Mwenye uelewa anielezee , maana nikiwaelezea hapa JF kuhusu maisha ya maEx zangu na maisha yangu kwa sasa yako tofauti kabisa, hata kuwasogelea tu maana wameshakua high level zaidi yangu
 
mkuu hi tech uliotumia wallah pm yako itajaa jinsi navyoelewa wanawake wanavyopenda muujiza kazi itakua ni kwako kuwabatiza kwa moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…