Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Haya mafala ndio yanajaz DM za wadada IG kule..Kazama, anamjua? Yani huu mtindo wa kushobokea ID ovyo kuna mtu tutasikia amepigwa pipe.
Yani wanashindwa hata kuomba pm zifunguliwe ili wakamwage sera zao huko, wanaishia kukata viuno majukwaani. Huu ni Uzi kama wa 10 wa dizaini hii.
Itabidi nianzishe kampeni ya kuwaomba wadada wa humu wafungue pm zao, madogo wana weweseka sana.
Bora hata huko IG mtu anazama DM baada ya kuona picha za manzi husika.Haya mafala ndio yanajaz DM za wadada IG kule..
Mwaka jana niliingia ktk Dm ya Manzi wangu aisee kuna Dm's kama 5000 hivi.. majings yanasimp kinoma. Wanawapa wanawake vichwa vya kuvimba sana.
😅😅😅Bora hata huko IG mtu anazama DM baada ya kuona picha za manzi husika.
Ila njoo huku JF, madogo wanakula sana mayai ya kizungu. Muda wote nyege zipo machoni, wakiambiwa hata neno "Asante" wanadindisha.
Nyota ishamng'aria ashindwe yeyeKumekucha @ephen
Kawaida mzee manake ata wewe ulishakula mishangazi sana ndio maana hudindi kirahisi😂 apostleBora hata huko IG mtu anazama DM baada ya kuona picha za manzi husika.
Ila njoo huku JF, madogo wanakula sana mayai ya kizungu. Muda wote nyege zipo machoni, wakiambiwa hata neno "Asante" wanadindisha.
Lucas Mwashambwa ataua mtu🤣Nyota ishamng'aria ashindwe yeye
Mod nini hii🤣Tunamshukuru mama kwa kuleta mvua, inasaidia vijana kupandisha nyegezi...
😂 kwani hii ni ccm? Yeye moyo wake wote si upo ukijanini.Lucas Mwashambwa ataua mtu🤣
Ila hizi shobo ni za mwendokasi. Zimekuwa too much 😅😅Kawaida mzee manake ata wewe ulishakula mishangazi sana ndio maana hudindi kirahisi😂 apostle
Washone tu sare za kijani wawe familia.ephen_ alisema damu zao zimeendana
Amshonee mtoto mzuri dera la ccm yu🤣Washone tu sare za kijani wawe familia.
Ila mshamba_hachekwi una discourage Sana 😁😀.Chatgpt hiyo
imerahisisha hadi utongozaji
Ohh, rafiki mbona Kama huu ujumbe sio wa Hapa mzee.Sira 19:2
Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili; mwanamume afanyaye urafiki na malaya ni mpotovu kabisa.
😂 na viatu vya manyoya ya kijani vyenye picha ya namba 1Amshonee mtoto mzuri dera la ccm yu🤣