[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkwe kila nikitaka kuleta mahari natambulishwa baba mpya...
Yule muuza vifuniko vya utamu kaachwa pia?
Unaendelea kupenda tu hivyohivyoHahahaha, swali gumu,ila si wanasemaga mpende anaekupenda au ? Sasa ukipenda usipopendeka je
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha sasa utoke uende wapi unabaki tu kupambana na thread yako we mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, naomba uendelee na Mada husika,mie si mzuri sana ktk kujibu maswali km haya
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nn hautaweza sasaHahahaha, kwa kweli sidhani km nitaweza ,labda Roho mtakatifu aniongoze
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu mtumie hata elfu miamoja kule PM kwanza....tehteehh [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha
Mkuu bebee huyoo sikutaka ateseke kabisa nikawa nipo tayari kumfuta machozi!
Watajua wenyewe na waume zao na likes siachi kutoa mie[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhaha mpaka likes wanachungulia jamani kwa nn hawajiaminiUtakipata unachokitafuta.
Hilo halina tatizo Mkuu,nilimwambia kabisa ahakikishe amejisajili!Ebu mtumie hata elfu miamoja kule PM kwanza....tehteehh [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipo mpendwa na za kwako vp?Hivi upoooo
Hapo umeokota dodo jangwani wallah, maana hata babu alisemaga eti.... kuku wa kuchora hajawai kudonoa...tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani huyu namsamehe asubuhi, then jioni anarudia.
Sana tu mkuu,Unaweza kuhisi dunia haizunguki katika mhimili wake bali umeishikilia mkononi.Kupenda unapopendwa raha sana mkuu.
Suala la kukosa wivu tu haliwezi kunikosesha bebee!Basi mie namtaka J.
Hahhaha mpaka likes wanachungulia jamani kwa nn hawajiamini