To you Mo11

Khaaaaaa makubwa haya mm likes najitoleaga tu kumbe wake zenu wanawafatilia jamani mtajuana na wake zenu mm likes naendelea kutoa tu

Kwahiyo ukamjibuje eti
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani huyu namsamehe asubuhi, then jioni anarudia.
Hapo umeokota dodo jangwani wallah, maana hata babu alisemaga eti.... kuku wa kuchora hajawai kudonoa...tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…