We si umesema ananiharibu auntie!!!Ujikute tu!
Hapendi makongamano yuleee....Sasa kwanini wewe ukubali kuharibika? Wewe ndio umtengeneze sasa aache ujambazi.
Nitajitahidi mnoo auntie. Ila kabishiiiiHahhaaa!! Ndio umshawishi sasa ili ayapende.
@shunie anakuharibu, maana yule jambazi mzoefu.
Hahaha hahaha hahaha
Shunie kuanzia leo nafuta nae urafiki
Ujikute tu!
We si umesema ananiharibu auntie!!!
Au umetengua kauli
Sasa kwanini wewe ukubali kuharibika? Wewe ndio umtengeneze sasa aache ujambazi.
Hapendi makongamano yuleee....
Mie sijakubali bado, namzooomm
Namuharibijeeee mtu mzima mm halafu dada sakayo naona umeamua kujiweka umechoka kumuweka rihanna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahhaaa!! Ndio umshawishi sasa ili ayapende.
MxxiuuueNitajitahidi mnoo auntie. Ila kabishiiii
Huyo ni mkaza mjomba ujue...Namuharibijeeee mtu mzima mm halafu dada sakayo naona umeamua kujiweka umechoka kumuweka rihanna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu hukoooMxxiuuue
Sawa auntieUsikate tamaa, kazana hadi kieleweke.
Hahaha hahahaSi nimekwambia kashindikana huyu, hivyo nenda nae mdogomdogo.
NitapambanaNajua wewe hauwezi kumshindwa.
Hahhaha ujambazi wa kujiweka mwenyewe kama nilivyokufundisha auntie yanguUnamfundish aujambazi.
Kwendraaaaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo ni mkaza mjomba ujue...
Sawa auntie
Unaona navyopewa misonyo
Si nimekwambia kashindikana huyu, hivyo nenda nae mdogomdogo.
Hahaha hahaha
sawa kabisaaa
Najua wewe hauwezi kumshindwa.
Nitapambana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameeeen!! Na Bwana akutangulie.