Hahaha hahaha hahahaNa hivi chupa za kijani zimemkolea hachelewi kukubali alafu asubuhi akakukana.
Asante sana jamanii kipenzi auntie....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ulikuwa akilini mwangu. Usiku mwema pia kipenzi. Msalimie video kolu.
[emoji8][emoji8][emoji8]Zimefika mama.
Haki ya auntieSema haki ya mama[emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdiwoooUmesema naharibu uzi wa watu na malengo?
Hahaha hahahaOoooh!! Wewe ukaja na maumbea yako kujifanya una uchungu sana na uncle wako[emoji57][emoji57][emoji57]
Usiniombe tena hela.
Nikabidhi Auntie yako ili aendelee kuwa na furaha zaidi!Hahaha hahaha
Ila auntie anko anakupenda sana! Huyo@sobasoba anakupenda sababu anakuona upo na anko
Akikuomba hela usisite kunijulisha!Ooooh!! Wewe ukaja na maumbea yako kujifanya una uchungu sana na uncle wako[emoji57][emoji57][emoji57]
Usiniombe tena hela.
Hivi jina lake ni sobasoba au sabosabo [emoji134][emoji134]Hahaha hahaha
Ila auntie anko anakupenda sana! Huyo@sobasoba anakupenda sababu anakuona upo na anko
Sijui ni hataHivi jina lake n8 sobasoba au sabusabo [emoji134][emoji134]
Yule ni mdaka chozi tu auntie, uncle wako mwenyewe si unamjua dakika 3 mbele!!