Jamani jamaniii was wrong
sikustahili kusoma ninavyosoma humu
Kwa nini unapenda kuvuruga tuu akiNimemsikia bebee
Naogopa hata kucomment maana alishanipa onyo akinikuta sehemu lazima alianzishe!
Hahaha hahaha hahaha hahahaPenzi bado changa hili,ni mapema sana kuanza kugombana na ndugu!
Hahaha,
Na akomeeeeAshasikia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772]
Haki umeshindikana wewe binti.
Hahaha@sabosabo u khali ganiiii
Acha kumtesaaaHawezi kufa mume wangu.
Mefurahi sana jamanii..Khaaaah!!
Kaone!
Vipengele vingi vya haki za binadamu haviruhusu watu kuteseka.Karibu.
Mie mesema ukweliii kabisaaa!Umelivurugaaaa sasa unajitia kutengeneza eeh?