Kwani unatesekaaaHahaha,
Unajua sisi wadaka chozi hatunaga wivu!
Sitaki utuletee anko mwingine!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi una nini lakini?
Cheka vizuri bwanaa...Hahaha
Siyo Mimi ni moyoo!Kwa nini unapenda kuvuruga tuu aki
Nilijua changamoto kama hizi nitakutana nazo!Hahaha hahaha hahaha hahaha
Ndugu my foot
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani dogo unateseka?
Naendelea kupambanaKwani unatesekaaa
Nani unamuongelea jamani? Hakuna cha junior wala seniour hapa. Hapa yupo baba la baba Mo pekee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Madam, mjibu junior wako fairly usimgeuzie kibao tena
Sent using Jamii Forums mobile app