Thikujua... Since today full respect aisee[emoji1487][emoji1490][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Sawa. Mimi ni nani hata nisisikie brake shoes zinabanwaHuh!! Dogo hebu subiri kwanza[emoji848]
Mimi sina haraka bebee,wewe endelea kujiachia na mzee![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We call it aste aste[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Hahahaha, aseeNipo nipo!
Si unajua ukiwa unatongoza mke wa mtu,hutakiwi kuwa na pupa!
Ngoja niwaache kwanza waendelee kubebishana,nitarudi tena wakigombana!
Mkuu
Mkiwa na kaugomvi usisite kunijulisha bebee@sakayo unamsikia mdaka chozi?!!!
Mkuu
Huyu haitaji haraka!
Mke wa mtu hutakiwi kuwa na wivu
Nashukuru Mkuu