SidanganyikiiiiiNina zawadi yako!
Yaani nyie watoto nyie[emoji134][emoji134][emoji134]
Khaaaaa.
Shunie kawa mdaka choziii
Khaaaa sijamchukua jamaniii nimesema natamani kumpata mwanaume kama yy kinganganizi@shunie kamchukua eti, haki hii mitoto sijui ya generation gani!!!
Nitumie mmKuna wakala yeyote hapo karibu yako?
Nina zawadi yako!
HahhahahhahaHata unyamazeee
Mie ni napambana na wewe popoteee
Auntie mm wala simtaki jamani[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahhaha mkweo na wakati watu wameachana upoje lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmeachana lkn mie hatujaachana, bado ni mkwe wangu.
Kingozi cha mdaka chozi wa auntieKuna kingozi[emoji85][emoji85][emoji85]
Hahahhahha sijamtaka yy nimesema natamani ningempata kama yeyeSi ndio huyu sasa umempata tena na kingozi juu. Upewe nini tena[emoji6]
UshafikaHahhahahhaha