Auntie usimfanyie hivyo si unajua tunavyompenda anko wetuUncle wako naona anaanza kunitusi na wanangu, naanza kufikiria maamuzi magumu.
Hahhahahha ndio watoto wakoHaki kweli watoto ninao.
Utanitumia namba ya wakala!Anko unaanzaje kunikana huyu mdaka chozi acha tumlie vihela vyake tu wewe ndio mume wa auntie
Na siwezi hata kuwabadilisha[emoji134]
Utanitumia namba ya wakala!
Ni dalili nzuri hizi!
mambo ya shemeji hauna hata sitakiAnko unaanzaje kunikana huyu mdaka chozi acha tumlie vihela vyake tu wewe ndio mume wa auntie
KhaaaaT wameachana hakuna video kolu wala voice kolu
AiseeeKwahiyo unataka kurudisha watu wameshaachana na kila mtu ana mbebez wake
UmerudiUtanitumia namba ya wakala!
Ni dalili nzuri hizi!
ShkamooSokoni, hata nikachukue maparachichi.
Nipo,sijaondokaUmerudi