[emoji134][emoji134][emoji134] Kwahiyo mnanifukuza na mumeo nimewakosea nini jamaniAuntie chooni ni paleeee, hebu nenda haraka alafu kitandani unapajua.
i love u tooI love this song and i love you[emoji7]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naanzaje kunywa juice kwani mm mgonjwa acha ninywe kinywaji ninachopenda[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Auntiw chonde chonde unywe juice tu.
Ndio mzigo wako huo auntie hakuna namnaAuntie uncle wako ananikondesha jamani.
wifi yako ni huyu tuKuanzia leo unatakiwa ujue, huyu mwanamke wako unajua mwenyewe kwamba simkubali ila nimemwonea imani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweli ankowifi yako ni huyu tu
huyu tu
huyu tu
wengine siwataki
Hivi nitakuwa zaidi ya hapa kweliTunataka ulale mapema ili ukue mama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naanzaje kunywa juice kwani mm mgonjwa acha ninywe kinywaji ninachopenda
Usijali my espy atakunywa juice azam embe au kijoti moja tu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Auntie chonde chonde unywe juice tu.
Hhahahha auntie ebu acha kunichulia kuna vitu sio vya kuchuliana kabisaSi uliniambia asubuhi unaumwa wewe!! Umepona saa ngapi?