Eeeehhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usifunguke bebee
Akwende hukoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hutaki kuamini au?
Mtego wako nimeushtukia!Hahaha hahaha....
Wewe mdaka chozi ko unataka kusema una busaaaraaaa
WoooiiiMdaka chozi wa auntie
Bebee usijalii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usifunguke bebee
Eeeehhh[emoji23][emoji23][emoji23]
Am vere siliasi, uncle wako anapenda mpira na pombe kuliko mimi. Hivyo nami nimeamua kutafuta vya kupenda ili nisimchoshe.
Siamini ninachokisomaaaBebee usijalii
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaMi nafasi yangu ya "Mdaka chozi" ni ya kudumu bila kujali yupo na nani