Arrgghh unataka nifanyeje myBaby jamani mimi nakufariji hivyo ila wewe ndio hausomeki jamani[emoji3590]
Unamfariji wapiiii unazidi kumtesa tu hapa na mdaka chozi wakoBaby jamani mimi nakufariji hivyo ila wewe ndio hausomeki jamani[emoji3590]
Hahaha hahaha hahahakwa ninayoyaona humu unaweza ukampindua auntie yako
mimi ananipa stress
nimuwaze yeye
niwaze hela
niiwaze simba
niiwaze arsenal
halafu vyote vinipe tabu
Kheeee mapema yote hiiWe mtoto unajua choo kilipo na kitanda pia, haya kakojoe ulaleee.
muache mpwa wangu kesho weekendWe mtoto unajua choo kilipo na kitanda pia, haya kakojoe ulaleee.
Nakupenda sana mpwa wanguNakupenda anko Mo
Naongeza pepikoniOkey oke okey[emoji848][emoji848]
Hahhaha unataka kunivulia nguo au unanipa laana ya vipiUmewahi kulaaniwa?
Kidogo jamani huwezi ilinganisha na arsenal[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa simba ina ubora gani[emoji134][emoji134]
Muwowe tenaArrgghh unataka nifanyeje my
Woyoooooomuache mpwa wangu kesho weekend
Nakupenda sana mpwa wangu
bora useme ww nikisema mimi naonekana nalalamikaUnamfariji wapiiii unazidi kumtesa tu hapa na mdaka chozi wako
Kwani unatesekaaaMfyuuuuuu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Awwwmuache mpwa wangu kesho weekend
Nakupenda sana mpwa wangu