Hahaha hahahaHuna adabu!!
Anko wewe una moyo wa nyama jamani akuhurumiebora useme ww nikisema mimi naonekana nalalamika
haiwezekani ila ingewezekana ningefanya hivyoMuwowe tena
we ndio umeshindwa kutuliaTulia nami baby.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukimaliza amarula utakuwa na nani eti auntie[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Basi nimewaacha, ngoja nikapige amarula. See you tommorow baby.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeghairi sikulaani tena. Wachukue tu.
Anko unapoelekea unakuwa mume bwegehaiwezekani ila ingewezekana ningefanya hivyo
we ndio umeshindwa kutulia
mi nishatulia nimebadili hadi line kwa ajili yako
Auntie maswali gani hayo sasa. Si nimesema narudi kesho? Naenda kulala kwa mama.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukimaliza amarula utakuwa na nani eti auntie
namba yako tu sijakariri nitakariri za michepukoUmebadili line wakati namba zao unazo kichwani[emoji134][emoji134]
Daaahhaiwezekani ila ingewezekana ningefanya hivyo
we ndio umeshindwa kutulia
mi nishatulia nimebadili hadi line kwa ajili yako
nilikuwa worse nimebadilikaAnko unapoelekea unakuwa mume bwege
Hilo nalo jina sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivyo unajifanya hilo jina hulijui vizuri eeh?!!!!
Auntie Mungu anakuona unavyomfanyia anko wetunilikuwa worse nimebadilika
ili nimridhishe still analeta za kuleta
Unywe amarula ukalale kwa mama auntie hakuna mtoto hapaAuntie maswali gani hayo sasa. Si nimesema narudi kesho? Naenda kulala kwa mama.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]namba yako tu sijakariri nitakariri za michepuko