Hahhaha ebu akuje anijibu na atanifukuza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli hili linahitaji uthibitisho.
Wale wote ulikuwa hata unawahisi sitosikiliza la mtu kwako nitakuwa bushokeAkina nani hao?
Msinifanyie hivyo jamaniWe bado unakua totoo, hivyo unahitaji usingizi wa kutosha.
kuna nyimbo nyingi kisha kuna hii ya barnaba
Leo wacha tusahau tofauti zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sitaki kuamini majicho yangu wifi mwenza.
kweli mpwa wangu sitachepuka wala kuwawazaSema kweli anko
sio ombi ni lazima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anko kama hivyo siji
hata moja sijapakia na nimeachaBaby uko bia ya ngapi now?