Imekula kwetu mama, tuendelee tu kusoma za wengine.Dooh[emoji20][emoji20]
My dear mahondaw, kabla hujanambia tuee makini zaman nishajua na naona sababu mengi yametokea humu meyaona mengine yalinikumba lakini mwisho wa siku maisha yanaendelea, mimi binafsi sijali chochote, sijali mtu yoyote atakachoongea, nampenda nilekua naye tena nampongeza haswa had leo tumefika hapa haikua kazi rahisi, na hakukata tamaa, yote n maisha najifunza bado tunajifunza kwa pamoja, ninachozingatia unapoanguka kokote kule nyanyuka jipanguse mavumbi songa mbele ndio hikimefanya, inshallah Allah atupe kila lenye heri.
Hatuna budi...[emoji124][emoji124][emoji124]Imekula kwetu mama, tuendelee tu kusoma za wengine.
hebu nifungulie na mimi nitakufunguliaKhaaaah!! Hamtaki na sisi tufunguliwe siredi eeh? Acheni uchoyo jamani.
Sasa pilau lini..?🙂 vyovyote vile sawa tu kwangu
Alichonifanyia sasa, nilitoka huku mda nikawa nafanya nambo yangu nje ya jf nikasema mda umeenda heb nishike sim kha hata kunambia mefanya hiki na hiki hajasema mekuja kuta notification halaf sikusoma thread yenyewe nikajibu nikatoka mara naingia nakuta tena nikasema no ngoja nisome ndio najua bae leo kaamua kunifungukia jaman kashindwa kujizuia mwanaume wangu ha ha ha he is really in love and i am in loveTangu nikusubiri ili nianze kazi yangu, umekuja umechelewa sana.
Tusikwamishane bana....
Kwani mnakutwaga na nini jamani!!!!My dear mahondaw, kabla hujanambia tuee makini zaman nishajua na naona sababu mengi yametokea humu meyaona mengine yalinikumba lakini mwisho wa siku maisha yanaendelea, mimi binafsi sijali chochote, sijali mtu yoyote atakachoongea, nampenda nilekua naye tena nampongeza haswa had leo tumefika hapa haikua kazi rahisi, na hakukata tamaa, yote n maisha najifunza bado tunajifunza kwa pamoja, ninachozingatia unapoanguka kokote kule nyanyuka jipanguse mavumbi songa mbele ndio hikimefanya, inshallah Allah atupe kila lenye heri.
Sasa km piemu hampo...Hata pm hanifungulii ujue!!