Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Ah ah ah ah ah kuja hapa kutakuwa kwa kuchungulia tuuu mara moja tuu na kusepaamu hebu toka hapo kontena kwa Rasi.
Njoo umsikie huyu
Nini sasa?
Watoto wa kino utawajua tuuuNimemiss sekela za kwa bonge jamani[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mpe huyoooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mahaba kama yoteeeee.
Ah ah ah nikitaka ntajua ila kwa sasa sitakSiri ya mtungi...aijuae kata.
Usitake nifukunyue nyuzi za mwaka jana
Wee bidadaMpe huyoooo
Wanakwambia wake wenza wakielewana, mume jiulize.
Ila sie walaaaa.....tunadamshi tyuuuuuu!!!!!
Ah ah ah mchukulie amu mletee hapa kwake nipo naeNdo niko hapa napita.
Nimechukua chips zege na kuku wa ndimu
Ni mke huyu au mpnz tuu. Kama ni mke you are safe kama mpnz there two things involved[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Sijui niseme nini..Darling unanipa furaha ambayo sidhani kama kuna binadamu mwingine anapata katika hii dunia wewe unajua hili ila acha leo niitangazie dunia, umekuwa mhimili wangu wangu mkuu katika maisha yangu kwa sasa na badae Inshallah. Kupendwa na wewe haikuwa jambo rahisi ingawa tulikutana kiutani tukaishi kwa utani kwa muda fulani hatimae Allah akabless.
Wewe umekuwa sababu ya mimi kuamini tena katika mapenzi umenifungulia dunia yako sasa nimekuwa nnachotaka YES beb nimekuwa nnachotaka sasa. Huna mapenzi ya kupima mapenzi ya upande mmoja unanipa muda wako, hukawii kujishusha kama nikipanda (babe usiwaze ujinga hapa 😀😀), unanijali na kunithamini nini tena nataka mimi?? au nikuletee mwenzio..usinipe jibu.
Honey you are in my heart each and everyday i can't stop thinking boat you..if you escape me directly am going to die wallah..swetie am nothing without you..trust me i live only for your happiness.
No one can ever put us out of our ways..i cannot imagine life you Madame S nakupenda
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mwenza, nikishiba mie, tumeshiba wote.Damn!! Kutiana hamu mwenza sio vizuri.[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ah ah ah ah ah ah Umekuja ndugu yangu karibu bhana kitengo kilikuwa kinapwaya ichiUsitake nifukunyue nyuzi za mwaka jana
Hatokaa apate ten bahati kama aloipata kwetu.Mpe huyoooo
Wanakwambia wake wenza wakielewana, mume jiulize.
Ila sie walaaaa.....tunadamshi tyuuuuuu!!!!!
Nishakuwa dada yako tenaWee bidada
Aaaaahaaa ila wewe jamaa. Bbade yupo wapAh ah ah ah ah ah Umekuja ndugu yangu karibu bhana kitengo kilikuwa kinapwaya ichi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza mwanzaaMwenza, nikishiba mie, tumeshiba wote.
Hv mwenza, unaonaje tutafute mume wa pamoja tubaki wenza?
Nimekuzoea.
Hv huyu Da'Vinci anatufaa kweli!!!
Naona kama mchawi vile na hizi mada zake.
Maana tuna'oa' mume kutokana na mada zake
Niko hapa nalatila KomakomaAh ah ah mchukulie amu mletee hapa kwake nipo nae
Fanya kushtukiza tuuuu ile kitu inaitwa
Buuuuuuuhhh kuuubaaaaaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ushanitisha eti waniogopa..Nishakuwa dada yako tena
Hapan huyo hatufai mwenza, hata mimi nimekuzoea ndio maana upweke wa kuniacha kwa MO11 peke yangu sitaki.Mwenza, nikishiba mie, tumeshiba wote.
Hv mwenza, unaonaje tutafute mume wa pamoja tubaki wenza?
Nimekuzoea.
Hv huyu Da'Vinci anatufaa kweli!!!
Naona kama mchawi vile na hizi mada zake.
Maana tuna'oa' mume kutokana na mada zake