Tulitoa hadi pole eti kajifungua@shunie auntie yangu ukuje ujibu mashtaka huku. Hivi lee ulimpeleka wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaa ilikua sukuma wiki siku ziende. Ila shuni na lee empire ilikua kiboko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tulitoa hadi pole eti kajifungua
Humu sitaki mahusiano aisee labda kwa kutania. Nawaogopa wanawakewa humu JFMkuu, kwa humu jf usije ukatamani maana inahitaji moyo na utayari
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Humu sitaki mahusiano aisee labda kwa kutania. Nawaogopa wanawakewa humu JF
Wengi sio wema. Sitaki kuaibishwa humu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tulikufanya nini wanawake wa jf jamani?
Sijui alienda wapi huyukwanini nifanye hivyo pacha?? utani ulikuwa kwa @aisha2016
Humu sitaki mahusiano aisee labda kwa kutania. Nawaogopa wanawakewa humu JF
Wwalituweza sana Transcend alitukana kabisa
AkbarrrrrAlaah!
Wambea huwa tunaishi maisha marefu sana maana yetu yakitushinda tunafuatilia ya watu tunapata burudani.
Akbarrrrr
Kiukweli nikipigwa naww hata viboko buku havitauma..Useme unataka viboko vingapi.....
Sidhani kama itatokeainategeme mnavyoishi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wengi sio wema. Sitaki kuaibishwa humu
Sisi wengine hatuna bahat kabisa yan watoto wazur tunabaki kuwaita mashemeji[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app