To you my love

Unaujua ukweli wangu na inatosha babe huihitaji mtu mwengine aprove kwako zaidi yangu labda wewe mwenyewe, am yours na huna share na mtu i know you trust me na kwangu inatosha, babe nakupenda.
Wouzeeeeeerrrr[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Agiza kinywaji unachokunywa bill ije kwangu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ningejua mama si ungeshaona nimefunguliwa siredi humu. Nami nyota ya bundi kama wewe tu.
Shosti Daby kaniambia nije kwako Fundi wa kufinyia mambo kwa ndani,.nijuze tafadhali[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakojoaaaaaaaaa
 
Kila la heri mama angu achana na ya wana wa adam fanya vile moyo wako unapenda
 
Kwani mnakutwaga na nini jamani!!!!
Maana wengine wazushi tu, kama huyo shosti yako kujifanya tunamtongozea bwanake bila hata haya!! Nilimind kweli aiseeee!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…