NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 408
WATANZANIA TUTOE MAONI YETU KUHUSU KATIBA MPYA KATIKA SEHEMU HIZI:
1. Unaweza kutembelea tovuti ya tume ya katiba na ukatoa maoni yako. Tembelea Tume ya Mabadiliko ya Katiba na utoe maoni yako.
2. Tuma sms ukianza na kutaja jina lako,umri na mahali unapoishi. Kisha toa maoni yako
a. 0715 08 15 08
b. 0767 08 15 08
c. 0787 08 15 08
d. 0774 08 15 08
Hizo hapo ni njia rahisi za kutoa maoni yako juu ya katiba mpya na hazina gharama yoyote kubwa jamani.
Kumbuka mustakabali na uhai wa taifa hili upo mikononi mwako.
Kwa ufupi kuna mambo mengi ya kuzungumza mf.
1. Nini maoni yako juu ya madaraka ya rais? yapunguzwe au yaongezwe au yabaki vilevile?
2. Nini maoni yako juu ya aina ya muungano tulionao? Muungano ubaki hivi hivi au tuwe na serikali 3 au hizi mbili?
3. Nini maoni yako juu ya serikali za majimbo? ziwepo au zisiwepo?
4. Nini maoni yako juu ya wabunge kuwa mawaziri? je ni sawa au sio sawa?
Na mengine mengi......tafadhali changia maoni yako. Uhai wa taifa hili upo mikononi mwetu.
1. Unaweza kutembelea tovuti ya tume ya katiba na ukatoa maoni yako. Tembelea Tume ya Mabadiliko ya Katiba na utoe maoni yako.
2. Tuma sms ukianza na kutaja jina lako,umri na mahali unapoishi. Kisha toa maoni yako
a. 0715 08 15 08
b. 0767 08 15 08
c. 0787 08 15 08
d. 0774 08 15 08
Hizo hapo ni njia rahisi za kutoa maoni yako juu ya katiba mpya na hazina gharama yoyote kubwa jamani.
Kumbuka mustakabali na uhai wa taifa hili upo mikononi mwako.
Kwa ufupi kuna mambo mengi ya kuzungumza mf.
1. Nini maoni yako juu ya madaraka ya rais? yapunguzwe au yaongezwe au yabaki vilevile?
2. Nini maoni yako juu ya aina ya muungano tulionao? Muungano ubaki hivi hivi au tuwe na serikali 3 au hizi mbili?
3. Nini maoni yako juu ya serikali za majimbo? ziwepo au zisiwepo?
4. Nini maoni yako juu ya wabunge kuwa mawaziri? je ni sawa au sio sawa?
Na mengine mengi......tafadhali changia maoni yako. Uhai wa taifa hili upo mikononi mwetu.