Toa maoni yako juu ya matumizi ya "KURA YA SIRI au KURA YA WAZI"

Toa maoni yako juu ya matumizi ya "KURA YA SIRI au KURA YA WAZI"

Wakati ya kupitsha vinpengele vya katiba, utaratibu upi ungependa utumike?

  • Kura ya Siri

    Votes: 14 87.5%
  • Kura ya Wazi

    Votes: 2 12.5%

  • Total voters
    16

Maswala

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
560
Reaction score
225
Piga kura kutuma ujumbe wako kwa wajumbe wa bunge la katiba Dodoma!
 
Maccm yanatisha wenzao, iwe ya siri, maana yapo tayari hata kuuwa haya majitu.
 
Hivi kwani hili suala limeishia wapi jamani maana jana ndo walikuwa wanakamilisha rasimu ya kanuni za bunge la katiba

cc yoyote mwenye taarifa
 
Kwanini isiwe wazi tuone nani jasiri? haha

Iwe siri tu kila mtu afanye anavyotaka
 
kwenye huu mjadala, potelea mbali naunga mkono kura za siri
 
Maccm yanatisha wenzao, iwe ya siri, maana yapo tayari hata kuuwa haya majitu.
Hata kama itakuwa ya siri so long ccm ni majority kwenye mchakato huu, daima tutashinda tu
 
Kura ya siri ndio sahihi na kwa kunusa halo ya hewa ndani binge wajumbe wengi wanataka Kura ya siri
 
Hivi kwani hili suala limeishia wapi jamani maana jana ndo walikuwa wanakamilisha rasimu ya kanuni za bunge la katiba

cc yoyote mwenye taarifa
Mkuu, Rasimu ya pili ya kanuni imekamilika na kinachoendelea sasa ni wajumbe kupitisha vifungu vya rasimu hiyo ambavyo vipo 87. Kwa sasa wamepitisha vifungu 10. Hoja ya kura ya siri au ya wazi ipo kwenye vifungu vya 37 na 38
 
Kura ya siri ndio sahihi na kwa kunusa halo ya hewa ndani binge wajumbe wengi wanataka Kura ya siri
Hao wajumbe wengi umewapata wapi? Au unazungumza wengi wanaoropoka?
 
iwe ya siri. Kura ya wazi inakuwa ya kishabiki zaidi hata katika bunge la kawaida tumeyaona hayo.
 
Back
Top Bottom