Toa maoni yako juu ya picha hii

Toa maoni yako juu ya picha hii

PingPong

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2008
Posts
926
Reaction score
160
Hii inakuaje....
 

Attachments

  • ChooWanafunzi.jpg
    ChooWanafunzi.jpg
    22.2 KB · Views: 182
Kinacko kosekana hapa ni picha ya choo unachokitumie wewe.Sijui kama kina tofauti kubwa sana!
 
Hii inakuaje....

Afadhali choo hiki kuliko vile vya majengo ya clubs za Simba na Yanga! Yaani kile cha simba walionyesha juzi wakati mwenyekiti wao mpya akilikagua jengo nilipata kuugua tumbo na kushindwa kula!!! Sikuweza kuamini kuwa ni choo au shimo la taka!!! Kweli ustaarabu Tanzania ni mgumu sana!!!
 
Matokeo ya mitihani ya darasa la saba yataendelea kuwa mabaya siku hata siku. Pia vyoo hivyo vitakuwa vichafu sana kiasi kwamba hawaingii ndani! Haya ndio matunda ya term ya kwanza ya JK!
 
Ndivyo CCM ilipoifikisha nchi. Maana kama choo cha shule kiko hivyo madarasa jee?
 
hela ya shangingi moja yaweza kujanga vyoo bora hata ishirini katika shule hizo. watz tuamke kwa hili...
 
Back
Top Bottom