AiseeKama ulivyo sema mtumie hela tu ili ukagundue yaliyomo yamo [emoji23] Cc Depal
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeKama ulivyo sema mtumie hela tu ili ukagundue yaliyomo yamo [emoji23] Cc Depal
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani avatar pamoja na iyo name yako Depal ndo vimemshawishi kama mimi kama mimi ninavyo shawishika kwa #cookie smoke hahahaAisee
Haaahh Paula Paul huyu [emoji23][emoji23][emoji23] even me i appreciate her, wherever u are shout out to u mom!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikuoe tena mke wangu
Lakini huyu baba kashaoa. Unapenda kuwa mke mwenza wa Janeti?shoutout to the one and only @Magufuli
Dah, hata mimi namkubali sana.Uzuri wa hapa wanaokubaliwa hapa ni wadada tuu.
Mngejua ni wake za watu wala msingewafagilia kiivyo ila ndio hivyo basi ishakua jinsia pendwa.
Basi na mimi nisibaki nyumba nichukue nafasi hii kati ya wadada ninaowakubali kama sio kuwapenda moja wapo ni Paula Paul kama sio mchawi sijui maana sio kwa kupendwa huko na kila mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipokea rafiki yake mie. Wajua vile tunapendana pia naimani vipo vingi tunashabihiana. 😀😀😀
mkuu mbona unakua na maneno mazito hivi!? unajua katika member ambao hua naona akili zao na umri wao ni inversely proportional ni wewe.Lakini huyu baba kashaoa. Unapenda kuwa mke mwenza wa Janeti?
Lakini huyu baba kashaoa. Unapenda kuwa mke mwenza wa Janeti?