HahahaLakini huyu baba kashaoa. Unapenda kuwa mke mwenza wa Janeti?
Vipi hali huko mkuu..hope yo good
Mume.
Una hatari sio kidogo.... usijtaje wasije jinyonga bure.Teh teh, tatizo nina waume wengi humu nikiwataja wakajuana huoni itakuwa msala. [emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]
Una hatari sio kidogo.... usijtaje wasije jinyonga bure.
Acha bwana.
Woow, for this....you are granted to have an evening tea with Kasie.
Choose the day and I'll see how to fix in my schedule.
Chabo sijazoea ,Haha umeshindwa kuiandika shout out si ungepiga hata chabo tu
Sasa si utoe kasharauti hata pm...hawatajua.
[emoji3][emoji3]Sasa si utoe kasharauti hata pm...hawatajua.
Nakukubali pia.