Toaaaa

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
461
Ni sauti toka chumba cha kati, sikuelewa nini atoe, unapeleka mbali, sikupata jibu tuuu, sikutaki tena maana wewe ni muharibifu wa mali za wengine, nikatoka kapa tena, mamaaaaaaaaaaaaa, sauti kwa mbali ikawa inafifia utadhani MWANGWI vileeee...mara hapo hapo, oh ulikosea, sikuachi daima, eeehhh jamanii wewe,....sasa nikajiuliza je, alilazimishwa? mwanzoni hakujua ni pale pale, maana nilitaka kuita POLICE, kama wewe ungefanyaje?
 
Dah! Hizi nyumba zetu za uswahilini nazo zina mambo..
 
Baada ya hapo ulifanya nini?Maana inaonekana ulihamasika
 
habari lako mkuu,
lakini kumbuka uchakachuaji wa hiyo tiGO NOWADAYS,
Hauna makelele ya hivo, kwani dada zetu ndo wanaoridhia hayo mambo!!!!

dada wote?
toka zako.
 

acha umbea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…