Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
hawajakubaliana malipo ya tigo.
tiGo hiyo ilichakachuliwa
habari lako mkuu,
lakini kumbuka uchakachuaji wa hiyo tiGO NOWADAYS,
Hauna makelele ya hivo, kwani dada zetu ndo wanaoridhia hayo mambo!!!!
Eeehhhh?????!!!!!!
wewe mbona huonekani kwenye chat room leo?
Kumbe na wewe mwanachama wa home????
habari lako mkuu,
lakini kumbuka uchakachuaji wa hiyo tiGO NOWADAYS,
Hauna makelele ya hivo, kwani dada zetu ndo wanaoridhia hayo mambo!!!!
Ni sauti toka chumba cha kati, sikuelewa nini atoe, unapeleka mbali, sikupata jibu tuuu, sikutaki tena maana wewe ni muharibifu wa mali za wengine, nikatoka kapa tena, mamaaaaaaaaaaaaa, sauti kwa mbali ikawa inafifia utadhani MWANGWI vileeee...mara hapo hapo, oh ulikosea, sikuachi daima, eeehhh jamanii wewe,....sasa nikajiuliza je, alilazimishwa? mwanzoni hakujua ni pale pale, maana nilitaka kuita POLICE, kama wewe ungefanyaje?