Toba! Hapa mbezi magufuli ndo palivyo? Kijijini tunapitwa na mengi sana

Toba! Hapa mbezi magufuli ndo palivyo? Kijijini tunapitwa na mengi sana

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Watu wa dar wanafaidi sana maisha, Yani nimenussa tu hili jiji maajabu ni mengi sana. Hivi kule kijijini nanjilinji kunaweza kuja kua kama hapa mbezi? Daah dunia haiko sawa kabisa.

Nimeshangaa bugurudi unavuka barabara kwa juu, haya ubungo ndo kuzidi. Nimepewa tenda ya kumsindikiza dogo tengeru Arusha nikapata bahati ya kuja kushangaa hapa dar. Ila wizi nasikia upo upo. Mama samia tuboreshee kijijin jaman. Is not fea
 
Hahaha, ndugu yangu unanikumbusha ule msemo wa 'kuja mjini kunusa hewa!' Kumbe na wewe umefika Dar ukawa shahidi wa mambo? Lakini usijali, hata Nanjilinji kuna siku itatisha! Hapo kwa kuvuka barabara juu, usiseme Buguruni tu, subiria upande sgr na Flyover ya Ubungo, utadhani tuko kwenye movie ya 'Fast & Furious.' 😄

Wizi upo kweli, ila ukiwa makini kama ninja, utaishi bila stress.
 
Watu wa dar wanafaidi sana maisha, Yani nimenussa tu hili jiji maajabu ni mengi sana. Hivi kule kijijini nanjilinji kunaweza kuja kua kama hapa mbezi? Daah dunia haiko sawa kabisa.

Nimeshangaa bugurudi unavuka barabara kwa juu, haya ubungo ndo kuzidi. Nimepewa tenda ya kumsindikiza dogo tengeru Arusha nikapata bahati ya kuja kushangaa hapa dar. Ila wizi nasikia upo upo. Mama samia tuboreshee kijijin jaman. Is not fea
Acha uongo.Kijijini huwa hawatamki neno "toba"!Wamezoea neno "mamaa weee" au "mwee" au "iiishii" au "weeee" au "khaaa"...!
 
Hahaha, ndugu yangu unanikumbusha ule msemo wa 'kuja mjini kunusa hewa!' Kumbe na wewe umefika Dar ukawa shahidi wa mambo? Lakini usijali, hata Nanjilinji kuna siku itatisha! Hapo kwa kuvuka barabara juu, usiseme Buguruni tu, subiria upande sgr na Flyover ya Ubungo, utadhani tuko kwenye movie ya 'Fast & Furious.' 😄

Wizi upo kweli, ila ukiwa makini kama ninja, utaishi bila stress.
Halafu mbona dar kuna umati wa watu sana hivi vijijin kuna waliosalia kweli? Mbona kama Tanzania yote iko hapa?
 
Halafu mbona dar kuna umati wa watu sana hivi vijijin kuna waliosalia kweli? Mbona kama Tanzania yote iko hapa?
sio vijijini tu mikoa kama lindi mjini na tanga mjini hakuna vijana kabisa wote wapo dar kutoka na ukaribu wa mikoa hiyo ni mkoa mmoja tu wa morogoro ambao bado vijana wapo na upo karibu na dar pia!
 
Watu wa dar wanafaidi sana maisha, Yani nimenussa tu hili jiji maajabu ni mengi sana. Hivi kule kijijini nanjilinji kunaweza kuja kua kama hapa mbezi? Daah dunia haiko sawa kabisa.

Nimeshangaa bugurudi unavuka barabara kwa juu, haya ubungo ndo kuzidi. Nimepewa tenda ya kumsindikiza dogo tengeru Arusha nikapata bahati ya kuja kushangaa hapa dar. Ila wizi nasikia upo upo. Mama samia tuboreshee kijijin jaman. Is not fea
Naskia wahenga wanadai lile daraja flyover treetop manzese mzee ruksa alipoifungua rasmi 1980s akasema sasa Dar ni kama London.

Nyau de adriz
 
Watu wa dar wanafaidi sana maisha, Yani nimenussa tu hili jiji maajabu ni mengi sana. Hivi kule kijijini nanjilinji kunaweza kuja kua kama hapa mbezi? Daah dunia haiko sawa kabisa.

Nimeshangaa bugurudi unavuka barabara kwa juu, haya ubungo ndo kuzidi. Nimepewa tenda ya kumsindikiza dogo tengeru Arusha nikapata bahati ya kuja kushangaa hapa dar. Ila wizi nasikia upo upo. Mama samia tuboreshee kijijin jaman. Is not fea
Aisee!
 
ndo maisha yalivo ukiwa ujafika dar unapaona pa maana sanaaaa......nakumbuka sku moja nilienda kijijini sasa nikaomba lift kwa lori huko kijijin wakaniuliza natokea wap nikawaambia dsm wakaanza kunibishia ety nawadanganya .......ukiwa hujafika marekan unapaona pa ajabu sana lakn ukiish huko unazoea hali........juz tu nilikuwa huko beijing ndoton
 
Ungemalizia ni Mnyantuzu kuyoka Nyalanja - Meatu/Itilima - Simiyu.
 
Et ndotoni
ndo maisha yalivo ukiwa ujafika dar unapaona pa maana sanaaaa......nakumbuka sku moja nilienda kijijini sasa nikaomba lift kwa lori huko kijijin wakaniuliza natokea wap nikawaambia dsm wakaanza kunibishia ety nawadanganya .......ukiwa hujafika marekan unapaona pa ajabu sana lakn ukiish huko unazoea hali........juz tu nilikuwa huko beijing ndoton
 
Watu wa dar wanafaidi sana maisha, Yani nimenussa tu hili jiji maajabu ni mengi sana. Hivi kule kijijini nanjilinji kunaweza kuja kua kama hapa mbezi? Daah dunia haiko sawa kabisa.

Nimeshangaa bugurudi unavuka barabara kwa juu, haya ubungo ndo kuzidi. Nimepewa tenda ya kumsindikiza dogo tengeru Arusha nikapata bahati ya kuja kushangaa hapa dar. Ila wizi nasikia upo upo. Mama samia tuboreshee kijijin jaman. Is not fea
Kuwa tu makini na simu usije ukapotea hewani ghafla...
 
Back
Top Bottom