Toba, hawa si chura jamani!

kakuruvi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2009
Posts
770
Reaction score
258
Napata picha sasa kwa nini wazungu wameng'ang'ania chura wetu wa Kihansi ni wa aina yake na hawapatikani sehemu yoyote Duniani isipokuwa Tanzania tena Kihansi tu, inasemekana chura hawa hawatagi wanazaa, wazungu hamnazo...





 

Attachments

  • ch1.jpg
    4.8 KB · Views: 203
  • ch2.jpg
    3.9 KB · Views: 128
  • ch3.jpg
    4.6 KB · Views: 117
  • ch4.jpg
    5.3 KB · Views: 100
  • ch5.jpg
    4.4 KB · Views: 100
  • ch6.jpg
    4.6 KB · Views: 98
  • ch7.jpg
    4.5 KB · Views: 102
  • ch8.jpg
    4.3 KB · Views: 151
Kakaa churaaaa, mboni patupu au ndio vile tena, shemejiii!
 
Duuuuuh, ama kweli si churaaa wala vyura nilowaona
 
Seva yetu inatuangusha.
Tusubiri mwezi wa nne jf ikizinduliwa rasmi.
 
Churaaaa! kwangu hawaonekani au wamesharuka!?
 
Kwa wale watakaoshindwa kuona picha, Nafikiri kuna tatizo networking, nimemwomba Invisible labda atarekebisha.
 
chura wanaonekana sasa mkuu kesharekebisha...ila wadogo hawaonekani vizuri Kakuruvi wakuze basi
 
Wamafuraisha.Ina maana kule Kihansi hakusalia hata mmoja?
 
sasa hii ni kweli au ndio kama ile ya chula wa EATV?
Mbona haya mauzauza?
Duh!hawa chura,jamaanii ,hii ni kweli kweli au kweli uongo?
 

ha ha ha Chura wanapiga styles zote hii style wataalamu inaitwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…