MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
"Kama Dotto amekuja Manungu lazima na Kulwa nae aje hivyo nawaonya hao Watu ambao wanahangaika Kwingineko na hata Kwetu Mtibwa pia ili Mechi yao na Sisi tarehe 23 February, 2022 ila sasa natangaza Officially kuwa Mechi yao hiyo nasi Mtibwa Sugar FC itachezwa Manungu Complex na wajiandae Kufungwa na Kupigana Bakora" amesema Tobias Kifaru Msemaji wa Klabu ya Mtibwa Sugae.
Taarifa: Sports Extra Clouds FM Leo.
Nami naongezea hiyo Timu lazima itachapika tu Siku hiyo na kama itashinda basi ni kutoka Sare pekee halafu na Sisi wa Timu nyingine tumeshamwandaa Beki Abdi Banda ahakikishe Mayele anaishia ICU, Beki Ame Ibrahim anamfanya Feisal Salum anazimia Siku Tatu na Kiungo Said Ndemla amfanye Aucho awekewe POP ( Plaster Of Paris ) Miguu yote Miwili na ikiwezekana Kipa Shabaan Kado amfanye Ntibazonkiza ama awe Kipofu au Kibogoyo kabisa kwa Kumrukia Kung Fu Kiki ya Kumzidi Mwenye Sanaa yake ya Mapigano Hayati Bruce Lee.
Tafadhali mnaohangaika Mechi yenu na Mtibwa Sugar FC isipigwe Manungu kwa kuogopa Kurogwa pale Darajani Mtoni na Waganga wenu Kuwaambia kuwa hali ni mbaya huko msikasirike kwa Wachezaji wenu hawa tajwa Kuumizwa kwani tuna Kumbukumbu ya kuwa hata nyie Timu moja mnayoichukia ilipocheza na Dodoma Jiji FC nanyi mliwaambia Wachezaji wa Dodoma Jiji FC wawaumize Wachezaji mahiri Sakbo, Kanoute, Inonga, Kagere, Kapombe na Dilunga.
Unyama Unyama tu na tusipangiane Ok?
Taarifa: Sports Extra Clouds FM Leo.
Nami naongezea hiyo Timu lazima itachapika tu Siku hiyo na kama itashinda basi ni kutoka Sare pekee halafu na Sisi wa Timu nyingine tumeshamwandaa Beki Abdi Banda ahakikishe Mayele anaishia ICU, Beki Ame Ibrahim anamfanya Feisal Salum anazimia Siku Tatu na Kiungo Said Ndemla amfanye Aucho awekewe POP ( Plaster Of Paris ) Miguu yote Miwili na ikiwezekana Kipa Shabaan Kado amfanye Ntibazonkiza ama awe Kipofu au Kibogoyo kabisa kwa Kumrukia Kung Fu Kiki ya Kumzidi Mwenye Sanaa yake ya Mapigano Hayati Bruce Lee.
Tafadhali mnaohangaika Mechi yenu na Mtibwa Sugar FC isipigwe Manungu kwa kuogopa Kurogwa pale Darajani Mtoni na Waganga wenu Kuwaambia kuwa hali ni mbaya huko msikasirike kwa Wachezaji wenu hawa tajwa Kuumizwa kwani tuna Kumbukumbu ya kuwa hata nyie Timu moja mnayoichukia ilipocheza na Dodoma Jiji FC nanyi mliwaambia Wachezaji wa Dodoma Jiji FC wawaumize Wachezaji mahiri Sakbo, Kanoute, Inonga, Kagere, Kapombe na Dilunga.
Unyama Unyama tu na tusipangiane Ok?