Today's relationships

Today's relationships

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,261
Reaction score
9,733
Today's Relationships: You can touch
each other, but not each other's phones.
Hii imekaaje?
 
I think imekaa poa tu,kwanini ujitafutie presha ambazo siyo za lazima...Kama ana-cheat utajua tu za mwizi 40!
 
hahaha so ina maana watu tunaogopa kujua ukweli wa mambo ndo maana hatufuatilii mambo ya wenzetu?
 
hahaha so ina maana watu tunaogopa kujua ukweli wa mambo ndo maana hatufuatilii mambo ya wenzetu?

Nakwambia bora cha kusikia kuliko cha kuona mwenyewe...! Halafu it's not good basi tu,kuchukua simu ya mwenzio specifically kwaajilili kungia inbox,outbox,draft,received calls,dialled calls..huh! mwingine hadi phone book maninaaaa...sasa ndo nini,inaonyesha jinsi gani humuamin mwenza wako tena live..#Mtu unakuwa huna uhuru na simu yako! Wewe jiamini tu kama ni wako ni wako tu...
 
I think imekaa poa tu,kwanini ujitafutie presha ambazo siyo za lazima...Kama ana-cheat utajua tu za mwizi 40!
Uko sahihi kbs,
Yann kuishi kwa stress,
Yangu akitaka aangalie tu,ya kwake wala sitaki kuwa karibu nayo acha kuigusa lol!
 
simu yake yanini? Labda nyie wenye ndoa,sisi wengine ni burudanii tu..isitoshe mimi nina pin code za kuzuia simu kuingia nikitaka.
 
Binafsi nilishagundua simu zinachangia sana kuharibu mahusiano mengi,
Na pia sion sababu ya kupekua simu ya mtu ili kujua anaowasiliana nao,
Km yy anaiba atajua yeye na mungu wake,
As long as natimiza wajibu wangu km mwanamke,
Na namwamini kwa kile ninachokipata,kwake am the only one to him,
Na km unajiamin wala hutahangaika na simu zake,coz uko satisfaidi.
 
hahaha sasa swali langu kama hakuna la kuficha kwanini mtu aogope simu yake kushikwa na mwenzake?
 
hujambo Canta,hongera maana naona uki stick kwa mwanaume mmoja hu cheat.
Sijambo kbs Bishanga,
Nikishikwa huwa nashikamana babangu,
Na raha moja huwa najiamin na kumwamini mwenzangu,
N maisha ya amani nikuaminiana tu,
Na akiamua hata nikikagua cm yake mara 100 kwa siku bado sitaweza kumzuia.
 
Sijambo kbs Bishanga,
Nikishikwa huwa nashikamana babangu,
Na raha moja huwa najiamin na kumwamini mwenzangu,
N maisha ya amani nikuaminiana tu,
Na akiamua hata nikikagua cm yake mara 100 kwa siku bado sitaweza kumzuia.
nakuaminia Canta,kaza buti kwenye msimamo huo na Mungu atakusaidia.
 
Binafsi nilishagundua simu zinachangia sana kuharibu mahusiano mengi,
Na pia sion sababu ya kupekua simu ya mtu ili kujua anaowasiliana nao,
Km yy anaiba atajua yeye na mungu wake,
As long as natimiza wajibu wangu km mwanamke,
Na namwamini kwa kile ninachokipata,kwake am the only one to him,
Na km unajiamin wala hutahangaika na simu zake,coz uko satisfaidi.

Umenena my sista! Kama ni wako ni wako tu...ukianza kupekenyua ma-inbox utataka kuhoji kila sms aliyotumiwa mwishowe akupe majibu ya karaha uanze kujuta...Ya nini hayo!!? Relax ur heart n mind..tujiamini!
 
Jamani kumnyima mwenzi wakio kushika simu yako kisa unacheat ni lack of professionalism
How? why?
Kwa nini umnyime mwenzio usingizi kisa simu
Hivi kweli problem solving imeishia hapo?
Kwanin huyo cheater wako umemficha kwamba una komited mahusiano

Naomba nianzishe semina elekezi ya simu
 
Inbox ya simu kitu gani?
Mtu anaingia inbox ya mwili wako?
Hebu tuweni siriaz na wenza wetu
Ila mie ni wa mwaka 1947
Sielewi kabisa kwenye kumnyima mwenzi wangu simu, na hainiingii
Hata kama mme wako ni jambazi, ndo jambazi lako
lazima ujue ili ijue unajipangaje naye
Hata kama ni mchwi ndo wako tena huyo

Hii ni pasua kichwa
Nakwambia bora cha kusikia kuliko cha kuona mwenyewe...! Halafu it's not good basi tu,kuchukua simu ya mwenzio specifically kwaajilili kungia inbox,outbox,draft,received calls,dialled calls..huh! mwingine hadi phone book maninaaaa...sasa ndo nini,inaonyesha jinsi gani humuamin mwenza wako tena live..#Mtu unakuwa huna uhuru na simu yako! Wewe jiamini tu kama ni wako ni wako tu...
 
Simu yangu achukue hata wiki!Sistuki!
 
Binafsi nilishagundua simu zinachangia sana kuharibu mahusiano mengi,
Na pia sion sababu ya kupekua simu ya mtu ili kujua anaowasiliana nao,
Km yy anaiba atajua yeye na mungu wake,
As long as natimiza wajibu wangu km mwanamke,
Na namwamini kwa kile ninachokipata,kwake am the only one to him,
Na km unajiamin wala hutahangaika na simu zake,coz uko satisfaidi.

yaani uko kama mimi, dah! hadi raha, maisha haya stress tele hewani, kisha ujiongezee nyengine za kujitafutia, k'ka! kwa kitu gani??
 
Back
Top Bottom