Today's relationships

simu yake yanini? Labda nyie wenye ndoa,sisi wengine ni burudanii tu..isitoshe mimi nina pin code za kuzuia simu kuingia nikitaka.

mmmh utakuwa una vijimambo weye.... inaonekana umewapanga folen lol
 
Ni kweli unahitaji privacy kwa vitu vyooote iwapo mwenzi wako hayuko muwazi kwako pia. But supposed yeye akawa muwazi kupitiliza, na hajali kama wewe ni muwazi kwake au lah bado utaona umuhimu wa hizo privacy zako sweetie?

Of coz si lazima kuwa muwe mnashare kila kitu but pale utakapoanza kulijengea HOJA kisa nimeishika simu yako hata kwa bahati mbaya mhmhhhhhh!! Love nitaanza kukutizama kwa macho manne ambayo sina!
 

Mkuu Mbu amini nakuambia, ku share simu ni njia moja ya kuyafanya mahusiano yadumu sana kwasababu mwenza wako kabla hajafanya manyago yake kupitia simu (which is vere common these days) atakuwa anafikiria mara mia huku akijua kuwa mwenza wake ana share kwenye simu yake au at least atatumia njia ya kijitu kizima zaidi kukubadilikia na sio hizi za kitoto tunazozishuhudia kila siku.

Na wewe ipo siku utagundua kwa nini Mbu wa Anophlese haambukizi matende.
 
ila unajua mnaongea 2 kuna kipind unakuwa una hamu kbs yana ya kuishika simu ya mwenzi wako ujue yaendeleayo thou kiheart beat chaweza panda. me naona kushika simu ya mpenzio ni muhimu kiafya.
 
...kinachonikwaza kwenye uwazi huu ni kitendo cha mwenza wako kuhoji majina ya contacts wako, na kila sms inayoingia anataka kujua imetoka kwa nani, na kwanini amekwambia maneno fulani, ...au kwanini ile sms aliyekuhoji jana umei delete...aisee? kila siku ya mw'mungu unakuwa mtuhumiwa tu kizimbani... haiji bana!!!



hahahaha.... haya bana.
 

Duly noted, Mr. Principal Secretary!
 

eeeh hayo maneno kama je yanaleta shaka usiulizwe?
na kama una maelezo ya kujitosheleza na kuridhisha kesho wala huulizwi
itakuja tu hata kw achenga chenga Mbu
 
Gud moning honey!
hehehe Leo mtaji umeongezeka naachana rasmi na biashara ya mkaa
uza kuku wa kienyeji ww mkaa utapata homa ya mapafu

halafu naona umenikonfyunzi na mtu mwengine hapo kwenye kipapli papli....mi sio lizzy bana angalia ID vizuri
 
uza kuku wa kienyeji ww mkaa utapata homa ya mapafu

halafu naona umenikonfyunzi na mtu mwengine hapo kwenye kipapli papli....mi sio lizzy bana angalia ID vizuri[/QUOTE]

heheeh huyu ndio Bht bana!
 
Reactions: bht
Ile ni personal phone, unataka nini kwenye simu yangu kama mimi sigusi ya kwako?
 
hahaha so ina maana watu tunaogopa kujua ukweli wa mambo ndo maana hatufuatilii mambo ya wenzetu?
search for Truth for it will set you free! at least thats what an old adage states!! BUT FREE FROM WHAT and the aftermath of your findings makes lsome end up wretched!! despite all the facts in his heands.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…