Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mliposti kwa madaha kuwa mmemsajili beki wa Coastal Union, mkamsifia kuwa ni beki la kazi, beki katili, sasa Lawi ameonekana kwenye camp huko akijiandaa kucheza Cecafa.
Wajibuni mashabiki maandazi nini kimetokea, maana mnakurupuka tu.
Basi utasikia mashabiki mazuzu wakisema kuwa Lawi hana sifa za kuchezea Simba, Lawi hana namba pale Simba bora abakie Coastal.
Imeshakuwa sizitaki mbichi hizi.
Wajibuni mashabiki maandazi nini kimetokea, maana mnakurupuka tu.
Basi utasikia mashabiki mazuzu wakisema kuwa Lawi hana sifa za kuchezea Simba, Lawi hana namba pale Simba bora abakie Coastal.
Imeshakuwa sizitaki mbichi hizi.