Tofali 700 inaweza kujenga vyumba viwili na kajiko?

Tofali 700 inaweza kujenga vyumba viwili na kajiko?

Lupe Tz

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2021
Posts
259
Reaction score
910
Habarii zenu wakuu, kama kawaida sisi walala hoi, wenye hela za mawazo kila kukicha tunapambana walau kupiga hatua.

Nina kauwanja na nina tofali 700 plan ni kupata 2 bedrooms, 1 master, kitcen+dinning nauliza km hizi tofali 700 nje ya msingi, zinaweza kutosha au nidundulize niongeze tofali? ushauri wenu wakuu
 
Ongeza angalau mia nne au 500 zifike buku na mia mbili, hapo uhakika.
 
Dhana ya Wataalam na Wananchi kushirikiana hapa imekaaje? Kulikoni Nyumba ambayo imejengwa na Serikali kurahisha maisha ya Mtumishi, mtumishi unaitelekeza,? lkn wananchi nao kwa nn Wamekosa Simile na kufikia hatua hii, kwa nn Wasimshtaki Mganga huyu kwa Mamlaka yake ya Nidhamu? Gharama zingine tena hapa kwa Serikali, sasa Nyumba haipo, hata kama atapelekwa mbadala anakwenda kukaa wapi? Haya leo wananchi wamechoma Nyumba, hivi hawa kesho hawawezi kuchoma kituo kwa MADAI hakina msaada kutokana na watu kupoteza maisha?

Screenshot_20211119-072208_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom