Tofali ngapi zinatosha Kujenga msingi?

Shamkware

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
1,750
Reaction score
2,283
Wakuu nauliza kwa mliojenga tayari, Ulitumia Tofali ngapi kujenga msingi tu wa nyumba yenye vyumba 3 ikiwa na jiko dining na public toilet!

Na je gharama gani inafaa kumlipa fundi kwa ujenzi wa msingi tu?

Eneo la kiwanja ni flat tu hakuna slope.
 
Haya ndio tunaita ambiguous questions! Ila kujibu kwa uzoefu, 1,200 hadi 1,800. Inategemea na ukubwa wa vyumba.

Ufundi inategemea mazingira, wengine 800,000 hadi 1,500,000. Haya ni maswali tata kujibu.
 
Wakuu nauliza kwa mliojenga tayari, Ulitumia Tofali ngapi kujenga msingi tu wa nyumba yenye vyumba 3 ikiwa na jiko dining na public toilet! Na je gharama gani inafaa kumlipa fundi kwa ujenzi wa msingi tu?. Eneo la kiwanja ni flat tu hakuna slope.
Mkuu swali lako lingejibika vizuri Kama ungeweka ramani na eneo lako Kama Ni tambarare au Lina muinuko mfano nikuulize toka dar Hadi Kilimanjaro gari itakula mafuta kiasi gani bila kutaja aina ya gari
 
Haya ndio tunaita ambiguous questions! Ila kujibu kwa uzoefu, 1,200 hadi 1,800. Inategemea na ukubwa wa vyumba.

Ufundi inategemea mazingira, wengine 800,000 hadi 1,500,000. Haya ni maswali tata kujibu.

Mkuu nakushukuru kwa majibu!
 
Mkuu swali lako lingejibika vizuri Kama ungeweka ramani na eneo lako Kama Ni tambarare au Lina muinuko mfano nikuulize toka dar Hadi Kilimanjaro gari itakula mafuta kiasi gani bila kutaja aina ya gari

Sijui kwakweli sio mwenyeji wa huo mkoa mkuu
 
Sijui kwakweli sio mwenyeji wa huo mkoa mkuu
Ndo hivyo mkuu hapo akili nayoweza kukupa kwa Ni tafuta mafundi wa tatu tofauti kila mtu akupe makadirio yake alafu chukuwa yule mwenye Bei ndogo ila hakikisha hao mafundi Ni kutoka maeneo tofauti ila tofali lazima zicheze kwenye 1500 Kama ulipo Kuna mawe Bora ujenge msingi wa mawe
 
Ndo hivyo mkuu hapo akili nayoweza kukupa kwa Ni tafuta mafundi wa tatu tofauti kila mtu akupe makadirio yake alafu
Huyu jamaa aivyokujibu inaonesha ni watu ambao ni slow learner alafu hataki kuisumbua akili kuelewa yeye itakavyo kaa atajibu
 
pima mzingo wanyumba yako kwa futi(urefu jumlisha upana)kuta zote.

ukishapata kadiria au amua ni togfali kisi gani unataka msingi wako unyanyuke zingatia msingi mfupi sana kama bado tanroad au tarura hawajaweka barabara hapo unapojenga lazima watajaza kifusi na kama msingi wako utakuwa chini kuliko kifuis chao jua unatengeneza bwawa jaribu kunyanyua uwezavyo.

Upipata mzingo wako sasa mfano ni ft 1000 za mzingo gawanya kwa tofali moja lina ft1.5 utapata tofali karinia 666 kwa mzunguko mmoja sasa unataka kupandisha kozi ngapi au tofali ngapi zidisha mf; 666*3=tofali 2000.
 

Mkuu nakushukuru sana aisee! Hii imekaa poa sana
 
Huyu jamaa aivyokujibu inaonesha ni watu ambao ni slow learner alafu hataki kuisumbua akili kuelewa yeye itakavyo kaa atajibu
Ni kweli ila inaweza na ugeni wa haya mambo ndo maana ila nadhani Bora atafutr fundi was huko huko aliko huu ushauri wa mtandaoni unataka mtu mwenye A, B, C za ujenzi angalau kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…