tofauti hapa ni nini?

aliso

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
32
Reaction score
2
wana jf wataalamu wa lugha nisaidieni tofouti na maana ya maneno haya.. Tundu na tobo.kifungo na kishikizo.
 
wana jf wataalamu wa lugha nisaidieni tofouti na maana ya maneno haya.. Tundu na tobo.kifungo na kishikizo.

kwanza nianze kwa kuweka sawa hili:-
neno Tobo kama lilivyo halina maana yoyote na si neno sahihi la kiswahili( tunaweza kuliweka katika common mistake in swahili).

kuna Toboa= kitendo
kuna Tundu= matokeo ya toboa

kama unakubaliana nami kwa maelezo yangu ya awali basi ni makosa kusema:-
toboa tobo

na sahihi ni:-
toboa tundu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…